shuka chini
JF-Expert Member
- Feb 27, 2024
- 842
- 1,928
Habari wadau.
Wanawake sijui akili zao huwa wanazipeleka wapi .
Ipo hivi kutokana na mimi kuwa mpenzi wa mpira.Sasa nimekuwa na kawaida ya kwenda ukumbi fulani ambapo kuna baa hapohapo.
Nikifika hapo naagiza zangu soda nacheki mpira huku nakunywa taratibu soda maana mimi sio mtumiaji wa pombe.
Sasa sikumoja nimekwenda hapo nikaliona limshangazi moja sura ya baba yake shepu la mama yake.Linabonge moja la tako balaa nikawa nimelielewa nikaliomba namba likaninyima.
Nikaamua kulichunia mimi huwa sipendi kulazimisha wanawake wenyewe wamejaa.
Sasa jana kwenye gemu la yanga nikaenda tena lilipo niona likanishobokea eti nilinunulie soda nikaliambia leo kwenye game ya simba talinunulia.
Sasa leo nimeenda nikakaa mbele kumbe limeniona likaniita we kaka ahadi yangu basi nikaamua kumchunia mpaka mpira umeisha nikasepa zangu.
Nyie wanawake kuweni na akili hata kidogo basi. Unagoma kutoa namba halafu unataka kula hela ya wanaume .Aise mimi huwa niko hivi nipe nikupe .Sina tabia ya kuhonga bila kula mzigo ukitaka hela yangu nipe mzigo niuzagamue.
Aliyewaroga wanawake nayeye alishakufa.
Wanawake sijui akili zao huwa wanazipeleka wapi .
Ipo hivi kutokana na mimi kuwa mpenzi wa mpira.Sasa nimekuwa na kawaida ya kwenda ukumbi fulani ambapo kuna baa hapohapo.
Nikifika hapo naagiza zangu soda nacheki mpira huku nakunywa taratibu soda maana mimi sio mtumiaji wa pombe.
Sasa sikumoja nimekwenda hapo nikaliona limshangazi moja sura ya baba yake shepu la mama yake.Linabonge moja la tako balaa nikawa nimelielewa nikaliomba namba likaninyima.
Nikaamua kulichunia mimi huwa sipendi kulazimisha wanawake wenyewe wamejaa.
Sasa jana kwenye gemu la yanga nikaenda tena lilipo niona likanishobokea eti nilinunulie soda nikaliambia leo kwenye game ya simba talinunulia.
Sasa leo nimeenda nikakaa mbele kumbe limeniona likaniita we kaka ahadi yangu basi nikaamua kumchunia mpaka mpira umeisha nikasepa zangu.
Nyie wanawake kuweni na akili hata kidogo basi. Unagoma kutoa namba halafu unataka kula hela ya wanaume .Aise mimi huwa niko hivi nipe nikupe .Sina tabia ya kuhonga bila kula mzigo ukitaka hela yangu nipe mzigo niuzagamue.
Aliyewaroga wanawake nayeye alishakufa.