Alinishauri mwenyewe ila sasa ananitangaza vibaya kwa watu

Ukienda kumtukana itaonekana kweli we ni darasa la saba


Unacho takiwa kujali ni kuwa huibi cha mtu wala huombi kwake


We pambana bodaboda ni kazi kama kazi nyingne
 
Najua mjumbe Aliekushauri ni darasa la Saba B..
Unajitutumua umemaliza UDOM.

Alafu unaomba ushauri ukamtukane!

Nakuahidi darasa la saba B atakupeleka jela na hiyo elimu yako itazidi kuwa hovyo....
 
Hiyo KLMY hapo mbele ya Mwita imenifanya nimkumbuke mchizi wangu mmoja hivi mpambanaji kitaa...
 
Wewe msubiri siku anakuja kukukodi umpeleke sehemu, akipanda unaangalia mti mkubwa unambamiza hapo akaugue miezi sita wewe unajifanya umeruka halafu unaanza kumsema jamaa angeruka tusingepata ajali, usikubali jino kwa jino na ukimuacha tu atakuzoea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…