Aliota anakimbizwa, aliposhtuka kajikuta sokoni Kariakoo

K 4 LIFE

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2015
Posts
2,567
Reaction score
416
Wakuu,

Kuna best yangu anaishi Kimara mwisho jana usiku aliota anakimbizwa sana na vibwengo watu, jamaa alikimbia sana mpaka miguu ikagusa kisogoni lakini aliposhtuka usingizini mida ya saa 8 usiku alishangaa alipojikuta na mashuka yake yupo sokoni Kariakoo, kumbe alikimbia kiukweli.
 
...arudi akalale sasa...
 
Ahaaa.....ndio yule alipita hapa anatoa moshi kwenye.......
 
We jamaa story zako hizo! Vipi ulisharudi toka Tukuyu?
 
Mtoa Mada ni Mwezi Mchanga.... Leo nani Jipu....
 
Mwambie aniletee pilipili manga na tangawizi ya maji...akija ntampa hela yake.
 
huyu jamaa hata wanaume wa dar wanamzidi mbali sana!kuna haja kubwa sana kwa serikali kupiga marufuku uuzaji na utumiaji wa viroba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…