Alishawahi kukuacha akajakukuomba kurudi tena?

Alishawahi kukuacha akajakukuomba kurudi tena?

proton pump

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
6,814
Reaction score
10,104
Katika harakati za mahusiano kuna changamoto nyingi.
Mtu anaweza kukuacha kwa sababu ndogo tu mfano,
Huna hela kwa kipindi fulan. Akakimbilia kwa mwingine anayefikiri ni bora zaidi.
Tamaa ya mali mf. gari, nyumba n.k akakuacha kwa sababu huna hivyo vitu.

Ameshakuzoea akakuona huna ladha na kuamua kujaribu kwingine.

Ameshauriwa na marafiki, ndugu na wengineo akuache aende zake.

Amehisi wewe sio type yake akachukua maamuzi magumu.

Kutokana na hayo alikuacha kwa kufikiri ameshafanikiwa lakini baade akajakukuta wewe ndio bora sana kupita vyote au wote na kutamani kurudi. Ulishawahi kuachwa au kuacha kwa sababu ambazo ulikuja kukuta baadae sio za msingi?...

karibuni kwenye maoni hapa.
 
martha .... aliniacha nipo dodgo dogo ndio ajira yangu mwanzoni mshiko kidogo najitafuta dada kapiga hatua kesha date na wazungu wamemjengea bado kupaua ana biashara kede kede....akanikimbia kwenda kwa jamaa anapiga kazi mizani.....kampa na ngoma...nyuma wala mbele hana na nyumba keshauza....god anabless pumzi safi tunavuta na mkoko tunadrive...
 
martha .... aliniacha nipo dodgo dogo ndio ajira yangu mwanzoni mshiko kidogo najitafuta dada kapiga hatua kesha date na wazungu wamemjengea bado kupaua ana biashara kede kede....akanikimbia kwenda kwa jamaa anapiga kazi mizani.....kampa na ngoma...nyuma wala mbele hana na nyumba keshauza....god anabless pumzi safi tunavuta na mkoko tunadrive...
Ukijipenda wewe mwenyewe zaidi ndio vizuri
 
Miaka mitano iliyopita niliachwa kwasababu nilikuwa sina body la kutamanisha kama mchepuko wake, sasaiv mambo yamebadilika nikivua shati sio wanawake tuu hata wanaume wananitamani.
Someni ilo jina lake vzr hlf ndo mtajua kua ni mwenzetu au sio
 
Wanaume wanakutamani mkuu? Daah brother kashaleft group aisee.
Hujamuelewa...ni kuwa ukipiga chuma vizuri ukajaa body vizuri...kutongozwa na WA nawake na wanaume mchelemchele ni jambo la kawaida....lakini hata wanaume straight wanatamani body hizo ila ni vile hawawezi ku pay price ya kuzipata
 
Nilimfukuza kama mbwa hakurudi tena mpaka kesho
 
Mwanaume mtu pekee anayekupendabni mama Yako wengine wote wanapenda vitu ulivyonavyo tu..
 
Back
Top Bottom