Alisimama masomo kwa muda na sasa anahitaji kurejea tena chuo, lakini account yake ya chuo haifunguki

Alisimama masomo kwa muda na sasa anahitaji kurejea tena chuo, lakini account yake ya chuo haifunguki

Davives

Member
Joined
Feb 2, 2024
Posts
18
Reaction score
19
Jamani Nina mdogo angu alikuwa anasoma pale UDSM mwaka 2023/2024 alikuwa 2nd year,alipat changamoto ikamtoa mchezoni akaondoka chuo bila taarifa, Ili akatatue changamoto bahati nzuri/mbaya mtoto aliezaliwa na binti sio wake.

Anahitaji arudi tena masomoni na aris3 account yake haifunguki je inamaanisha amedisco? Na kama amedisco anaweza kusoma tena sehemu nyingine na kozi nyingine?, au ndio basi tena aendelee kupambana kitaa.
 
Jamani Nina mdogo angu alikuwa anasoma pale UDSM mwaka 2023/2024 alikuwa 2nd year,alipat changamoto ikamtoa mchezoni akaondoka chuo bila taarifa, Ili akatatue changamoto bahati nzuri/mbaya mtoto aliezaliwa na binti sio wake.

Anahitaji arudi tena masomoni na aris3 account yake haifunguki je inamaanisha amedisco? Na kama amedisco anaweza kusoma tena sehemu nyingine na kozi nyingine?, au ndio basi tena aendelee kupambana kitaa.
[emoji3516]
UDSM ukiondoka bila taarifa rasmi,
Hiyo imeenda.
Hapo aombe tena program nyingine.
 
Jamani Nina mdogo angu alikuwa anasoma pale UDSM mwaka 2023/2024 alikuwa 2nd year,alipat changamoto ikamtoa mchezoni akaondoka chuo bila taarifa, Ili akatatue changamoto bahati nzuri/mbaya mtoto aliezaliwa na binti sio wake.

Anahitaji arudi tena masomoni na aris3 account yake haifunguki je inamaanisha amedisco? Na kama amedisco anaweza kusoma tena sehemu nyingine na kozi nyingine?, au ndio basi tena aendelee kupambana kitaa.
Kwa taratibu za vyuo vya elimu ya juu, ukiondoka bila kuaga/kuahirisha masomo kwa mujibu wa taratibu za Chuo inaitwa 'Abscondment' na inatafsiriwa kwamba amejifuta hadhi ya uanafunzi.
 
Back
Top Bottom