Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Kuna jamaa bna tulikuwa nae village huko
Siku moja wakaja jamaa wa mazingaombwe school kwetu,kiingilio kilikuwa sh ishirini. Mimi sikuwa na hela unajua me nimetokea familia choka mbaya sana
Basi bna nyota ya masponsor imeanza niwakia kitambo baada ya watu waliolipia kuingia kwenye darasa ambalo lilikuwa limeandaliwa sisi ambao tulikuwa hatujalipia tukawa tumekaa tu kinyonge uwanjani huko kusubiria wenzetu watoke waje watusimulie yaliyojiri
Kuna jamaa mmoja alikuwa kanizidi madarasa mawili akaniita akaniambia haya zama ukumbini fasta.nilifurahi sana nikakimbia fasta ukumbini mle nikakuta show zinaendelea nilikuta jamaa anapasuliwa tofali kichwani hope wahenga wenzangu mnakumbuka hizo
Kabla ya kuendelea niombe radhi kwa uandishi wangu mbovu dogo yuko hapa analilia simu utadhani babake kaninunulia aah.mtoto gani hajalala saa nne jamani?
Tuendelee
Basi wakuu nikacheki zile mara mtu ameze glass, mara ameze yai Basi raha tupu
Siku moja wakaja jamaa wa mazingaombwe school kwetu,kiingilio kilikuwa sh ishirini. Mimi sikuwa na hela unajua me nimetokea familia choka mbaya sana
Basi bna nyota ya masponsor imeanza niwakia kitambo baada ya watu waliolipia kuingia kwenye darasa ambalo lilikuwa limeandaliwa sisi ambao tulikuwa hatujalipia tukawa tumekaa tu kinyonge uwanjani huko kusubiria wenzetu watoke waje watusimulie yaliyojiri
Kuna jamaa mmoja alikuwa kanizidi madarasa mawili akaniita akaniambia haya zama ukumbini fasta.nilifurahi sana nikakimbia fasta ukumbini mle nikakuta show zinaendelea nilikuta jamaa anapasuliwa tofali kichwani hope wahenga wenzangu mnakumbuka hizo
Kabla ya kuendelea niombe radhi kwa uandishi wangu mbovu dogo yuko hapa analilia simu utadhani babake kaninunulia aah.mtoto gani hajalala saa nne jamani?
Tuendelee
Basi wakuu nikacheki zile mara mtu ameze glass, mara ameze yai Basi raha tupu