Fredmaty Zach.
Member
- Jul 26, 2012
- 51
- 6
Unataka tukujibuje? Umeshafanya homework lakini?
sijafanya, mama hajaninunulia penseli.
Unataka tukujibuje? Umeshafanya homework lakini?
Watoto wa siku hizi bana. Hivi kutumia 'x' badala ya 's' kunapunguza au kuongeza nini?
ebana habarin za wakati huu,
mara nyingi xana hujiuliza juu ya kupokea cm ya mwenz wako lakin cpt jibu, kimbwanga hicho kimemkuta rafiki angu wa karibu xana, nibaada ya kuwa akimpigia cm aliyekuwa mpenzi wake ili waweke mambo =, anajikuta anaongea na njemba ikitoa matusi mithiri ya mzoga damponi na ii inatokea anapotumia laini yake, msela kanitaka ushauri kiukweli nimeshndwa.
kwaupande wa msela mwenye kupokea cm ana2mikishwa au ni sehemu ya mapenzi?
ebana habarin za wakati huu,
mara nyingi xana hujiuliza juu ya kupokea cm ya mwenz wako lakin cpt jibu, kimbwanga hicho kimemkuta rafiki angu wa karibu xana, nibaada ya kuwa akimpigia cm aliyekuwa mpenzi wake ili waweke mambo =, anajikuta anaongea na njemba ikitoa matusi mithiri ya mzoga damponi na ii inatokea anapotumia laini yake, msela kanitaka ushauri kiukweli nimeshndwa.
kwaupande wa msela mwenye kupokea cm ana2mikishwa au ni sehemu ya mapenzi?
Watoto wa siku hizi bana. Hivi kutumia 'x' badala ya 's' kunapunguza au kuongeza nini?
Hahahha! We naona tayari!!swaga babuweeeeeeeeeeeee...utajuta xana mbyona!!!!!!!
= ndo anamaanisha sawasawa au sawa?