Alivyotumbuiza Diamond na wenzake Gabon

ChingaOne nakumbuka uliwahi kuanzisha special thread ya team kiba, karibu kwenye team ya ushindi
Nop..Matola ndio alianzisha ile thread ya team kiba.

I really miss that battle
Unamuonea.., thread ya Team Kiba ilianzishwa na Matola na Chinga One alianzisha thread ya Diamond!! Kile kilikuwa ni kipindi cha full minyukano.....
 
Daaaa Hivi Yule ndo Davido??? Daaaaa halali Mohombi asiwe na Time nae hivi vitu vinaenda na Nyota
 
Ningefurahi kama Jamal malinzi yuko humu!?

Msitegemee maendeleo ya soccer Jamal Malinzi akiwa ndio kinara wa TFF; yeye kama tulivyowaonya hapo zamani aliomba uongozi kama ngazi tu ya kwenda kujineemesha yeye binafsi!! Wadanganyika kwanini hamuelewi na kuchukua hatua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…