Aliye karibu na Mkombozi Benki anisaidie kuwapa taarifa

Aliye karibu na Mkombozi Benki anisaidie kuwapa taarifa

BIN BOR

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2010
Posts
1,013
Reaction score
407
MCB, benki ya kanisa langu pendwa Katoliki, lakini kitendo mnachonifanyia sasa ni cha kihuni kabisa. Mlisema nikiwa mahali ambapo hakuna tawi la Mkombozi naweza kuweka hela kupitia TPB.

Pesa imewekwa Alhamisi, haikuonekana kwenye akaunti. Ijumaa nikafunga safari toka Bagamoyo hadi St Joseph, huyo akaniambia kulikuwa na hitilafu, saa sita usiku pesa itaonekana, hadi sasa hakuna kitu.

Nikamwambia ni gharama kwangu kutoka Bagamoyo akanipa namba ya kupiga bure 0800 750 040 nimepiga toka saa 3 asubuhi hadi sasa saa 6 mchana haipatikani.

Hii maana yake nini?
 
Mimi sijawahi kuelewa watu wanaofungua akaunti kwenye bank ambayo ina matawi labda mkoammoja napo mpaka ufunge safari ndefu kuyafikia. Unless ni SACCOS lakini mimi siwezi fungua akaunti nje ya CRDB, NMB, NBC unless ninahitaji huduma special inayohitaji bank za kimataifa mfano FNB ni wazuri kwa miamala ya kimataifa.
 
Mimi sijawahi kuelewa watu wanaofungua akaunti kwenye bank ambayo ina matawi labda mkoammoja napo mpaka ufunge safari ndefu kuyafikia. Unless ni SACCOS lakini mimi siwezi fungua akaunti nje ya CRDB, NMB, NBC unless ninahitaji huduma special inayohitaji bank za kimataifa mfano FNB ni wazuri kwa miamala ya kimataifa.

Hiyo ndo point nzuri
Mtu kama anataka apate huduma za benki popote then anafungua acc na ka benki kenye branch moja nchi nzima anategemea nini!
 
Mtu na akili zako timamu uende ku-bank na mkombozi bank?

Yaani uache hizi bank zinazojielewa uende mkombozi bank?

Mbaya zaidi hizo bank za kidini zina riba kubaa kwa waumini kuliko hata bank za kawaida. Ni muendelezo ule ule wa kuwaibia na kuwanyonya waumini watiibu kwa padri/mchungaji.

Aisee.
 
Nahisi ww ni mtu wa serikali hutaki mcb iendelee....... Si mnajua mkuu alisema anatamani zibaki hata benki 2 nchini
 
Mtu na akili zako timamu uende ku-bank na mkombozi bank?

Yaani uache hizi bank zinazojielewa uende mkombozi bank?

Mbaya zaidi hizo bank za kidini zina riba kubaa kwa waumini kuliko hata bank za kawaida. Ni muendelezo ule ule wa kuwaibia na kuwanyonya waumini watiibu kwa padri/mchungaji.

Aisee.
Ungeongea huku una reference ingenoga, em toa data acha umbea
 
Hahaha sijawahi kuelewa kwanini mtu mzima utunze pesa benki.
Unazipekeka kuzitunza, halafu unazifuata kuzitumia, kwanini usitunze ndani mwako?!
Hata ukiziweka benki utazitumia zitakwisha, ule usumbufu kujua salio, mara zimeyeyuka, why not trust yourself with your own money, keep them home and spend as you wish.
Ungekuwa na pesa yako ndani haya yote yasingekukuta.
Benki hawalipi liba, badala yake hukukata pesa ya kukutunzia wao huiita account maintenance fee, hawakupi ushauri wowote wa namna bora kutumia pesa yako, wanaitumia kujiingizia kipato na bado unawapelekea wakutunzie, halafu wakusumbue unapozihitaji ukajipange foleni.
Chimba shimo ndani la siri jenga kwa cement kisha ficha pesa zako, hakuna mtu atajua unatunza pesa ndani,labda mwenyewe useme.
Jipunguzie stress, jihudumie mwenyewe, be your own bank, and self teller.
Hili nalo unasubiri Magufuli aseme utasikia, katukomboa hahaha.
 
Hahaha sijawahi kuelewa kwanini mtu mzima utunze pesa benki.
Unazipekeka kuzitunza, halafu unazifuata kuzitumia, kwanini usitunze ndani mwako?!
Hata ukiziweka benki utazitumia zitakwisha, ule usumbufu kujua salio, mara zimeyeyuka, why not trust yourself with your own money, keep them home and spend as you wish.
Ungekuwa na pesa yako ndani haya yote yasingekukuta.
Benki hawalipi liba, badala yake hukukata pesa ya kukutunzia wao huiita account maintenance fee, hawakupi ushauri wowote wa namna bora kutumia pesa yako, wanaitumia kujiingizia kipato na bado unawapelekea wakutunzie, halafu wakusumbue unapozihitaji ukajipange foleni.
Chimba shimo ndani la siri jenga kwa cement kisha ficha pesa zako, hakuna mtu atajua unatunza pesa ndani,labda mwenyewe useme.
Jipunguzie stress, jihudumie mwenyewe, be your own bank, and self teller.
Hili nalo unasubiri Magufuli aseme utasikia, katukomboa hahaha.
Ukichaa ndio huu sasa
 
Pole Sana Kwa Usumbufu
Acha Tuone Majibu Yao Mkombozi
 
  • Thanks
Reactions: BRB
Back
Top Bottom