USIPENDE KUJIUNGA NA BENKI UMIZAMCB, benki ya kanisa langu pendwa Katoliki, lakini kitendo mnachonifanyia sasa ni cha kihuni kabisa. Mlisema nikiwa mahali ambapo hakuna tawi la Mkombozi naweza kuweka hela kupitia TPB...
benki ya ujanja ujanja ni ipi na sifa zake ni zipi
Mtoa mada mbona kaelezea kila kitu we unataka sifa gani zaid ya hizo? Au kipindi cha Tegeta escrow ukuwepo nchini? Kuna bank bongo zilitoa miamala mpaka watu wakabebea pesa kwenye mifuko ya sandarusi.benki ya ujanja ujanja ni ipi na sifa zake ni zipi
Mimi sijawahi kuelewa watu wanaofungua akaunti kwenye bank ambayo ina matawi labda mkoammoja napo mpaka ufunge safari ndefu kuyafikia. Unless ni SACCOS lakini mimi siwezi fungua akaunti nje ya CRDB, NMB, NBC unless ninahitaji huduma special inayohitaji bank za kimataifa mfano FNB ni wazuri kwa miamala ya kimataifa.
Ungeongea huku una reference ingenoga, em toa data acha umbeaMtu na akili zako timamu uende ku-bank na mkombozi bank?
Yaani uache hizi bank zinazojielewa uende mkombozi bank?
Mbaya zaidi hizo bank za kidini zina riba kubaa kwa waumini kuliko hata bank za kawaida. Ni muendelezo ule ule wa kuwaibia na kuwanyonya waumini watiibu kwa padri/mchungaji.
Aisee.
Ukichaa ndio huu sasaHahaha sijawahi kuelewa kwanini mtu mzima utunze pesa benki.
Unazipekeka kuzitunza, halafu unazifuata kuzitumia, kwanini usitunze ndani mwako?!
Hata ukiziweka benki utazitumia zitakwisha, ule usumbufu kujua salio, mara zimeyeyuka, why not trust yourself with your own money, keep them home and spend as you wish.
Ungekuwa na pesa yako ndani haya yote yasingekukuta.
Benki hawalipi liba, badala yake hukukata pesa ya kukutunzia wao huiita account maintenance fee, hawakupi ushauri wowote wa namna bora kutumia pesa yako, wanaitumia kujiingizia kipato na bado unawapelekea wakutunzie, halafu wakusumbue unapozihitaji ukajipange foleni.
Chimba shimo ndani la siri jenga kwa cement kisha ficha pesa zako, hakuna mtu atajua unatunza pesa ndani,labda mwenyewe useme.
Jipunguzie stress, jihudumie mwenyewe, be your own bank, and self teller.
Hili nalo unasubiri Magufuli aseme utasikia, katukomboa hahaha.
Hahaha umekasirika?! Lala ukue.Ukichaa ndio huu sasa