Wakuu nawasalimu,mimi huwa napenda sana kujisomea vitabu mbalimbali,so kwa mtu yeyote alie na kitabu ambacho anajua ni kizuri na kimemsaidia kumpa vitu fulani vipya katika maisha yake,iwe ni politics,psychology,management,counseling,au any inspirational book,basi tafadhari naomba niwekee hapa,au tupia link nami taifuata na kudownload,tashukuru sana kwa atakae nisaidia kwa hilo.............!