Aliye tayari kuolewa na mimi anitext

Lyambasa

Senior Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
153
Reaction score
43
Waungwana nashukuru kwa ushauri wenu mlionipa kuhusu mke wangu kichomi.Mara ya mwisho tulipatana kuwa aende nyumbani akapumzike ili tutafute suluhu.Cha ajabu amekaa muda mfupi na amerejea tena na watoto amewaacha huko kwao.Cha kusikitisha bibi ya watoto wangu ni muathirika wa HIV na ndiye anayewahudumia.Naona sasa nitafute mke.Aliye tayari kuolewa karibu.
 
kapime bac kwanza,,, mie niko tayari lakini ukinioa mie kwetu ntarudi kutembea!!!"
mie najua kupendwa kuachwa sijui!!!!!
 
sorry Lyambasa mimi sijaelewa kwani huyo mama watoto wako mmeshatengana?
 
Last edited by a moderator:
ukiona mwanaume kamuacha mkewe ...mama watoto wake mkimbie kama ukoma....
si uliapa kifo ndo kitawatenganisha au?
 
sorry Lyambasa mimi sijaelewa kwani huyo mama watoto wako mmeshatengana?

Ndio.But kwa sasa nahitaji mwanamke mwenye shahada mbili,umri walau miaka 31,make huyu shule yake ni ndogo amenitesa sana.Umri wangu ni miaka 35.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…