Aliye tayari kuolewa na mimi anitext

Ndio.But kwa sasa nahitaji mwanamke mwenye shahada mbili,umri walau miaka 31,make huyu shule yake ni ndogo amenitesa sana.Umri wangu ni miaka 35.

Shahada mbili? Daaah......binamu yangu hiki kigezo kimemtoa knock out. Au punguzapo kzush walau uwe my shemeji,ingawa upunguze kulalama.
 
Shahada mbili? Daaah......binamu yangu hiki kigezo kimemtoa knock out. Au punguzapo kzush walau uwe my shemeji,ingawa upunguze kulalama.

Natafuta msomi ili PhD yake iwe ya mahaba.huenda akasahau hata kazi yake.
 
Ndio.But kwa sasa nahitaji mwanamke mwenye shahada mbili,umri walau miaka 31,make huyu shule yake ni ndogo amenitesa sana.Umri wangu ni miaka 35.

Duh...nilitaka nikuPM ila tatizo shule. Mie la saba!
 
Ndio.But kwa sasa nahitaji mwanamke mwenye shahada mbili,umri walau miaka 31,make huyu shule yake ni ndogo amenitesa sana.Umri wangu ni miaka 35.

fafanua shahada mbili za nini!
Wengine tuna shahada za kukesha bar kunywa.
 
Unahitaji commitment zao? Wataka wanawake wangapi wakujie na hzo commitment walau nimjuze binamu naye awe mmoja wao?

Fahari ya macho haifilisi duka.Natafuta mmoja tu kati ya hao.
 
wewe Umepima!!!!!!



Usikute yeye kicheche na kupima hataki ila anamsingizia mkewe kuwa malaya na ana ngoma. Sie kina baba wa kiafrika haki ya nani tuna issues, yaani basi tu. Ngoja nikasikilize wimbo wa Muumin Mwinjuma wa "Mgumba" nijiliwaze na maisha haya ya mpito.
 
Usikute yeye kicheche na kupima hataki ila anamsingizia mkewe kuwa malaya na ana ngoma. Sie kina baba wa kiafrika haki ya nani tuna issues, yaani basi tu. Ngoja nikasikilize wimbo wa Muumin Mwinjuma wa "Mgumba" nijiliwaze na maisha haya ya mpito.

Hujanielewa.Mke huyu alifanya vurugu na tukashindwa kupata mwafaka.Nikaona suluhisho ni kumpeleka kwa wazazi ili wamshauri.Amekaa muda mfupi akarejea na kuwaacha kwa bibi yao ambaye ni HIV postive.Naamini my Ex pia ni mzima.Nakushauri usome tena.
 
Hujanielewa.Mke huyu alifanya vurugu na tukashindwa kupata mwafaka.Nikaona suluhisho ni kumpeleka kwa wazazi ili wamshauri.Amekaa muda mfupi akarejea na kuwaacha kwa bibi yao ambaye ni HIV postive.Naamini my Ex pia ni mzima.Nakushauri usome tena.


Nimesoma tena na kuelewa vizuri, samahani kwa kujivuruga. Ila isiwe issue kwako kuwa mama mkwe wako ana ngoma kwani kama anakula dawa na kufanya yale aliyoshauriwa kufanya basi ataishi vizuri. Ukimwi si tena hukumu ya kifo, watu wanaishi kwa miaka hata zaidi ya 20 siku hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…