Mcheza Piano
JF-Expert Member
- Mar 2, 2024
- 562
- 1,339
Tatizo ni neti na mtengenezaji au ni wewe na upambanuaji wa mambo?Kwa nini usiifungie neti kwenye shangazi kaja halafu unywe dawa ya mbu kujikinga nao?Neti inakera sana hususa ni kwetu wanaume weusi warefu, unakuta inakugusa gusa miguuni na kichwani, inakera sana, raha ya usingizi inatoweka.
#UziTayari
Kabisa mkuuNa bado matundu makubwa.wanakuuma mbu.amefeli sana
Hizi ntazijaribu.Mimi mpaka leo sijifuniki net kwa sababu hizo hizo. Net inakera sana aseeh.
Ila kuna zile net ni kubwa kuliko kitanda king sized hazigusi kitanda hizo ni nzuri sana kama hizi hapa at least
Tengeneza kitanda kirefu bro, neti zinavutika.Neti inakera sana hususa ni kwetu wanaume weusi warefu, unakuta inakugusa gusa miguuni na kichwani, inakera sana, raha ya usingizi inatoweka. Halafu kuna mbu wanafanya mashambulizi kutokea nje.
Wafupi hamta elewa hii adha ila mkikuwa mtajionea.
#UziTayari
Mbu walio na nyumba zao uvunguni je???Mimi mpaka leo sijifuniki net kwa sababu hizo hizo. Net inakera sana aseeh.
Ila kuna zile net ni kubwa kuliko kitanda king sized hazigusi kitanda hizo ni nzuri sana kama hizi hapa at least
Ikipigwa show mujarabu wenyewe watatafuta kwa kwendaMbu walio na nyumba zao uvunguni je??? View attachment 2993417