The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
We bwege unakosa usingizi kwa sababu za madeni usisingizie netNeti inakera sana hususa ni kwetu wanaume weusi warefu, unakuta inakugusa gusa miguuni na kichwani, inakera sana, raha ya usingizi inatoweka. Halafu kuna mbu wanafanya mashambulizi kutokea nje.
Wafupi hamta elewa hii adha ila mkikuwa mtajionea.
#UziTayari
Tupo wengi mkuu,mimi nilikua nalala kwa kochi wakati wife mjamzito.Sijui ni mimi tu huwa nikilala ndan ya neti naona kama napata shida kuvuta hewa, haitoshi lakini nikiitoa tu naona ahueni
Napataga shida sana na kuna kipindi kuna mbu sana, huwa natumia feni kuwafukuza.Tupo wengi mkuu,mimi nilikua nalala kwa kochi wakati wife mjamzito.
Nilipoanza kufanya usafi kila siku room ikawa na hewa mpyaa mbu wakakimbia.
Wengi hata toilet hawafanyi usafi zile kona kona zile masinki.
Wapi na neti imewafunika?Ikipigwa show mujarabu wenyewe watatafuta kwa kwenda
Nunua kubwaNeti inakera sana hususa ni kwetu wanaume weusi warefu, unakuta inakugusa gusa miguuni na kichwani, inakera sana, raha ya usingizi inatoweka. Halafu kuna mbu wanafanya mashambulizi kutokea nje.
Wafupi hamta elewa hii adha ila mkikuwa mtajionea.
#UziTayari
Hii tunasema "umetia chumvi"AND HANDSOME
Tatizo sio neti, Tatizo ni kitanda kidogo, Atafute/achonge kitanda kikubwa/kirefu ili anapolala asiguse net/kingo za kitanda.Nunua kubwa
Huyu mzushi kaka mara nyingi tukalala kwenye ile futi sita urefu lazima ujikunje.Tatizo sio neti, Tatizo ni kitanda kidogo, Atafute/achonge kitanda kikubwa/kirefu ili anapolala asiguse net/kingo za kitanda.
Wewe unazungumzia vyandarua vya bure, cha bure kikufunike na miguu haiwezekani, ukitaka vya kufunika miguu nenda dukani vipo vya futi sita kwa sita na zaidi.Neti inakera sana hususa ni kwetu wanaume weusi warefu, unakuta inakugusa gusa miguuni na kichwani, inakera sana, raha ya usingizi inatoweka. Halafu kuna mbu wanafanya mashambulizi kutokea nje.
Wafupi hamta elewa hii adha ila mkikuwa mtajionea.
#UziTayari
[emoji16][emoji16][emoji16]Neti inakera sana hususa ni kwetu wanaume weusi warefu, unakuta inakugusa gusa miguuni na kichwani, inakera sana, raha ya usingizi inatoweka. Halafu kuna mbu wanafanya mashambulizi kutokea nje.
Wafupi hamta elewa hii adha ila mkikuwa mtajionea.
#UziTayari
Rudia kusoma ulichoandika! Kama hakuna kosa, mfuate haraka Mbunge wa Iringa na Rafiki wa Waziri Dr Gwajima akusaidieTupo wengi mkuu,mimi nilikua nalala kwa kochi wakati wife mjamzito.
Nilipoanza kufanya usafi kila siku room ikawa na hewa mpyaa mbu wakakimbia.
Wengi hata toilet hawafanyi usafi zile kona kona zile masinki.