Elections 2010 ALIYEAHIDI STARS KWENDA GHANA kweli KUFUTA JEMBEMKONO?

Elections 2010 ALIYEAHIDI STARS KWENDA GHANA kweli KUFUTA JEMBEMKONO?

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,468
Reaction score
911,184
ALIYEAHIDI STARS KWENDA GHANA kweli KUFUTA JEMBEMKONO?

Kulingana na gazeti la majira la leo Kikwete ameahidi atafuta KILIMO CHA JEMBE LA MIKONO KATIKA MIAKA MITANO IJAYO KAZI ILIYOMSHINDA MIAKA ISHIRINI NA SABA iliyopita aliyokuwa amepiga kambi kwenye baraza la mawaziri akiwa naibu waziri, waziri na sasa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

“Ama kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya firauniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii”


 
anaweza kweli kufuta kwa kumtumia shehe yahaya
 
ALIYEAHIDI STARS KWENDA GHANA kweli KUFUTA JEMBEMKONO?

Kulingana na gazeti la majira la leo Kikwete ameahidi atafuta KILIMO CHA JEMBE LA MIKONO KATIKA MIAKA MITANO IJAYO KAZI ILIYOMSHINDA MIAKA ISHIRINI NA SABA iliyopita aliyokuwa amepiga kambi kwenye baraza la mawaziri akiwa naibu waziri, waziri na sasa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

"Ama kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya firauniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii"



na kweli huu ni u-firauniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom