Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Baada ya kuiona ile incidence SS3 na kuirudia kuiangalia kutoka kwenye angle mbalimbali kupitia Youtube feeds ni dhahiri kwamba aliyekataa kumpa mkono mwenzake na kuharakisha kumpa mkono anayefuata ni Suarez na ndio maana hata Rio Fredinand(aliyesimama baada ya Evra na ambaye hana ugomvi na Suarez) akakataa pia kumpa mkono Suarez baada ya tendo la kibaguzi aliloonyesha tena kumuelekea Evra.
Tena hata alipofunga goli,jamaa akabusu ngozi lake la kitimoto.
Superspoti haikuonesha wakati suarez anampa mkono evra na evra kusita , s3 imeonesha suarez akiwa anashikwa mkono kwa nguvu na De gea kurudisha kwa Evra.
Evra alisita na Suarez akaona haitaji kupoteza mda aendelee na wengine
Superspoti haikuonesha wakati suarez anampa mkono evra na evra kusita , s3 imeonesha suarez akiwa anashikwa mkono kwa nguvu na De gea kurudisha kwa Evra.
Evra alisita na Suarez akaona haitaji kupoteza mda aendelee na wengine
Superspoti haikuonesha wakati suarez anampa mkono evra na evra kusita , s3 imeonesha suarez akiwa anashikwa mkono kwa nguvu na De gea kurudisha kwa Evra.
Evra alisita na Suarez akaona haitaji kupoteza mda aendelee na wengine
Tena hata alipofunga goli,jamaa akabusu ngozi lake la kitimoto.
ulitaka abusu pumbu zake??Tena hata alipofunga goli,jamaa akabusu ngozi lake la kitimoto.
Superspoti haikuonesha wakati suarez anampa mkono evra na evra kusita , s3 imeonesha suarez akiwa anashikwa mkono kwa nguvu na De gea kurudisha kwa Evra.
Evra alisita na Suarez akaona haitaji kupoteza mda aendelee na wengine
alibusu mikono kuonyesha pigu,sema waafrika 2najbagua sana hata kabla ya kubaguliwa.