Aliyeanzisha na kuruhusu mchakato wa Katiba Mpya (KM) ndiye atakaesimamia kukamilika kwake

Aliyeanzisha na kuruhusu mchakato wa Katiba Mpya (KM) ndiye atakaesimamia kukamilika kwake

DustBin

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2021
Posts
609
Reaction score
604
Moja kwa moja kwenye hoja kuu iliyobebwa na kichwa cha habari...!

Wahenga wanamkumbuka aliyeanzisha/kuruhusu mchakato wa Katiba Mpya (KM). Ishara za wazi zinaonesha yeye ndiye atakaesimamia kusimika kwake au kukamilika kwake. Ijapokua uhusika wake sio wa moja kwa moja.

Mungu ni mwema, ukifanya jambo kwa kumtanguliza yeye analibariki na anakubariki na wewe pia. Ingawa itachelewa lakini Katiba itafanyiwa marekebisho na hatimaye readjusted Constitution itakuwa mezani.

Alamsiki..!
 
Alieanzisha hii kitu ni watanzania wote bana na sio mtu mmoja
Kuna yule aliyewezesha mpaka tume ya Warioba kuundwa ila akawageuka balaa
Natamani sana kuja kujua nini kilitokea(ga) mpaka akapiga U-turn ya namna ile
 
Kuna yule aliyewezesha mpaka tume ya Warioba kuundwa ila akawageuka balaa
Natamani sana kuja kujua nini kilitokea(ga) mpaka akapiga U-turn ya namna ile
Hhahhaha..., U-turn kwenye barabara ya njia moja
 
Mchakato ni wa taifa zima... KATIBA MPYA LAZIMA TUTAIPATA.
Kupatikana itaoatikana lakini itachukua muda..! Na kama kipindi hiki cha Mama kitapita hivi hivi basi tusahau.

Maana ni wachache sana watakaokua madarakani kisha wakatamani au kutaka katiba irekebishwe. Hata hao wapinzani kwa mfano wakishika hatamu, hii haitakua ajenda.

Kutawala Kutamu msisikie..!
 
Back
Top Bottom