Aliyechukua akili za Watanzania Arudishe

Aliyechukua akili za Watanzania Arudishe

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Sio jambo la kusema polepole kuwa Tanzania ni nchi ambayo inajitafuta. Uzi huu haulengi kuainisha sababu lakini " nchi hii ni nchi maskini ya wakulima na wafanya kazi haijawa ya matajiri "

Sasa katika pita pita zangu nashangaa kuona Watanzania huku mitandaoni wanafurahia baadhi ya nchi matajiri kusitisha misaada ya kimataifa, ambapo sisi Tanzania ni miongoni mwa nchi wanufaika.

Sina lengo la kusengenya lakini sitashangaa mtu huyo huyo anayefurahia halipi kodi, pengine hana kazi anakaa nyumbani kusubiri chochote kitakacholetwa n.k

Kama tujuavyo population ya Tanzania imekaa kitegemezi, kama tunafurahia kutopewa misaada basi kila mtu atoke afanye kazi tuongeze walipa kodi .

JAMBO LA MSINGI KATIKA MAKALA HII

Hapa tuainishe mambo ya msingi katika kukabiliana na kukatishwa kwa misaada

1. Serikali ibane matumizi
2. Wananchi wabane matumizi
3. Chochote tulichonancho kama nchi kisimamiwe na kitumike vizuri
5. Kila mtu apambane mara mbili zaidi kuinua uchumi wake
6. Saa za kufanya kazi ziongezwe katika taasisi na viwanda vya uzalishaji
7. Iundwe wizara mpya ya ubunifu wa kisayansi na ugunduzi wa fursa
8. Taasisi ambazo hazina tija sana au ulazima sana zifutwe au kuunganishwa
9. Kila mtu apambane kupunguza population tegemezi ikiwa ni pamoja na kuzingatia vilivyo uzazi wa mpango
10. Baadhi ya wanawake waache ujinga wakusema "kazi yetu sisi ni kuzaa kwa uchungu" watoke huko majumbani wakafanye kazi
11. Vyombo vinavyokabiliana na Rushwa, ufisadi, na ukaguzi viongeze utendaji maradufu

Mwisho nikipata mawazo mapya nitakuja kuwaambia
 
Sio jambo la kusema polepole kuwa Tanzania ni nchi ambayo inajitafuta. Uzi huu haulengi kuainisha sababu lakini " nchi hii ni nchi maskini ya wakulima na wafanya kazi haijawa ya matajiri "

Sasa katika pita pita zangu nashangaa kuona Watanzania huku mitandaoni wanafurahia baadhi ya nchi matajiri kusitisha misaada ya kimataifa, ambapo sisi Tanzania ni miongoni mwa nchi wanufaika.

Sina lengo la kusengenya lakini sitashangaa mtu huyo huyo anayefurahia halipi kodi, pengine hana kazi anakaa nyumbani kusubiri chochote kitakacholetwa n.k

Kama tujuavyo population ya Tanzania imekaa kitegemezi, kama tunafurahia kutopewa misaada basi kila mtu atoke afanye kazi tuongeze walipa kodi .

JAMBO LA MSINGI KATIKA MAKALA HII

Hapa tuainishe mambo ya msingi katika kukabiliana na kukatishwa kwa misaada

1. Serikali ibane matumizi
2. Wananchi wabane matumizi
3. Chochote tulichonancho kama nchi kisimamiwe na kitumike vizuri
5. Kila mtu apambane mara mbili zaidi kuinua uchumi wake
6. Saa za kufanya kazi ziongezwe katika taasisi na viwanda vya uzalishaji
7. Iundwe wizara mpya ya ubunifu wa kisayansi na ugunduzi wa fursa
8. Taasisi ambazo hazina tija sana au ulazima sana zifutwe au kuunganishwa
9. Kila mtu apambane kupunguza population tegemezi ikiwa ni pamoja na kuzingatia vilivyo uzazi wa mpango
10. Baadhi ya wanawake waache ujinga wakusema "kazi yetu sisi ni kuzaa kwa uchungu" watoke huko majumbani wakafanye kazi
11. Vyombo vinavyokabiliana na Rushwa, ufisadi, na ukaguzi viongeze utendaji maradufu

Mwisho nikipata mawazo mapya nitakuja kuwaambia
Nina wakika we huna degree utakua unaishi kiujanjaujanja ulimaliza form 4 tu, nani kaluambia kwamaba misaada tunao pewe ni ya bure, unajua kinacho mkuta Ukuraine anajutia kwanini hakuelewana na Russia mapema, yeye anadai eti alipewa donation ya $350nb kumbe wanzake wana hesabu $500nb.

Wewe unajua kwanini Tanzania mpaka leo ni masikini licha ya kuuza dhahabu diamond coal nk ila bado masikini hatuwezi hata kula milo mitatu kwa siku.......
 
Hatumwelewi

KWA SABABU SISI SIO WAUAJI ILA WEWE NDIO MUUAJI - MUUE 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 KWA SABABU SISI SIO WAUAJI ILA WEWE NDIO MUUAJI - MUUE
 
Nina wakika we huna degree utakua unaishi kiujanjaujanja ulimaliza form 4 tu, nani kaluambia kwamaba misaada tunao pewe ni ya bure, unajua kinacho mkuta Ukuraine anajutia kwanini hakuelewana na Russia mapema, yeye anadai eti alipewa donation ya $350nb kumbe wanzake wana hesabu $500nb.

Wewe unajua kwanini Tanzania mpaka leo ni masikini licha ya kuuza dhahabu diamond coal nk ila bado masikini hatuwezi hata kula milo mitatu kwa siku.......
Bora mimi niliyeishia form 4 kuliko wewe mwenye hizo degree lakini kichwani kumejaa kinyesi
 
Cost of Living in Uganda

MarketsEdit
Milk (regular), (1 liter)2,443.37 USh1,500.00-4,000.00
Loaf of Fresh White Bread (500g)4,498.48 USh2,500.00-6,000.00
Rice (white), (1kg)4,876.92 USh4,000.00-6,000.00
Eggs (regular) (12)6,517.19 USh4,800.00-12,000.00
Local Cheese (1kg)16,299.86 USh6,000.00-30,000.00
Chicken Fillets (1kg)17,421.05 USh8,099.04-29,389.29
Beef Round (1kg) (or Equivalent Back Leg Red Meat)15,086.96 USh13,000.00-18,000.00
Apples (1kg)9,902.90 USh5,000.00-15,000.00
Banana (1kg)5,334.21 USh3,000.00-8,099.04
Oranges (1kg)6,756.19 USh3,000.00-15,000.00
Tomato (1kg)5,444.55 USh3,000.00-10,000.00
Potato (1kg)5,186.69 USh2,000.00-10,000.00
Onion (1kg)6,255.12 USh3,000.00-10,000.00
Lettuce (1 head)3,571.43 USh1,500.00-6,000.00
Water (1.5 liter bottle)2,045.45 USh1,500.00-3,000.00
Bottle of Wine (Mid-Range)40,000.00 USh20,000.00-65,000.00
Domestic Beer (0.5 liter bottle)4,205.88 USh3,000.00-5,000.00
Imported Beer (0.33 liter bottle)7,192.31 USh4,000.00-14,694.64
Cigarettes 20 Pack (Marlboro)10,000.00 USh5,000.00-20,000.00

Transportation
Edit
One-way Ticket (Local Transport)3,000.00 USh2,000.00-5,000.00
Monthly Pass (Regular Price)135,000.00 USh0.00-173,913.04
Taxi Start (Normal Tariff)2,500.00 USh2,000.00-10,000.00
Taxi 1km (Normal Tariff)1,000.00 USh1,000.00-3,000.00
Taxi 1hour Waiting (Normal Tariff)15,000.00 USh5,000.00-25,000.00
Gasoline (1 liter)5,302.69 USh5,000.00-6,000.00
Volkswagen Golf 1.4 90 KW Trendline (Or Equivalent New Car)32,500,000.00 USh25,000,000.00-35,000,000.00
Toyota Corolla Sedan 1.6l 97kW Comfort (Or Equivalent New Car)32,900,000.00 USh30,000,000.00-37,500,000.00
Restaurants
Edit
Range
Meal, Inexpensive Restaurant
10,000.00 USh​
5,000.00-15,000.00
Meal for 2 People, Mid-range Restaurant, Three-course
90,000.00 USh​
60,000.00-150,000.00
McMeal at McDonalds (or Equivalent Combo Meal)
33,736.50 USh​
25,000.00-36,736.61
Domestic Beer (0.5 liter draught)
5,000.00 USh​
3,000.00-7,000.00
Imported Beer (0.33 liter bottle)
10,000.00 USh​
7,000.00-15,000.00
Cappuccino (regular)
9,667.94 USh​
6,000.00-15,000.00
Coke/Pepsi (0.33 liter bottle)
1,666.67 USh​
1,000.00-3,000.00
Water (0.33 liter bottle)
1,107.14 USh​
1,000.00-2,000.00




Utilities (Monthly)Edit
Basic (Electricity, Heating, Cooling, Water, Garbage) for 85m2 Apartment151,388.89 USh80,000.00-240,000.00
Mobile Phone Monthly Plan with Calls and 10GB+ Data54,466.67 USh30,000.00-100,000.00
Internet (60 Mbps or More, Unlimited Data, Cable/ADSL)257,777.78 USh120,000.00-500,000.00

Sports And Leisure
Edit
Fitness Club, Monthly Fee for 1 Adult148,750.00 USh75,000.00-240,000.00
Tennis Court Rent (1 Hour on Weekend)19,000.00 USh10,000.00-36,000.00
Cinema, International Release, 1 Seat23,500.00 USh18,000.00-40,000.00

Childcare
Edit
Preschool (or Kindergarten), Full Day, Private, Monthly for 1 Child442,222.22 USh300,000.00-1,000,000.00
International Primary School, Yearly for 1 Child13,375,000.00 USh6,000,000.00-28,000,000.00

Clothing And Shoes
Edit
1 Pair of Jeans (Levis 501 Or Similar)63,000.00 USh30,000.00-80,000.00
1 Summer Dress in a Chain Store (Zara, H&M, ...)48,750.00 USh30,000.00-120,000.00
1 Pair of Nike Running Shoes (Mid-Range)122,222.22 USh70,000.00-200,000.00
1 Pair of Men Leather Business Shoes184,444.44 USh100,000.00-300,000.00

Rent Per Month
Edit
Apartment (1 bedroom) in City Centre1,227,272.73 USh500,000.00-2,543,822.07
Apartment (1 bedroom) Outside of Centre711,538.46 USh400,000.00-1,500,000.00
Apartment (3 bedrooms) in City Centre3,355,555.56 USh1,200,000.00-7,500,000.00
Apartment (3 bedrooms) Outside of Centre1,338,461.54 USh700,000.00-3,000,000.00

Buy Apartment Price
Edit
Price per Square Meter to Buy Apartment in City Centre4,113,880.53 USh3,600,000.00-4,741,641.60
Price per Square Meter to Buy Apartment Outside of Centre3,584,000.00 USh2,720,000.00-3,800,000.00
 
Back
Top Bottom