well you can do nothing ....
well you can do nothing ....
Kama una namba ya simu ya jamaa nadhani tayari unaweza kumkamata kupigia service provider, nenda polisi wanipa kubali cha uchunguzi.
Wewe tafuta taarifa zake halafu mfuatilie kitaeleweka kama CCTV zinamwonyesha vizuri usikate tamaa
Nyati na wadau wengine wote mliochangia thread hii, nawashukuru sana. Nimeipata simu yangu ingawa kulifanyika jaribio la kuiharibu (futa kumbukumbu zote) kwa hivyo imepoteza ubora wake na data pia, lakini nitaenda samsung service center wa in reinstall bila shaka itakuwa sawa,
Inauma sana lakini japo nimeokoa laki sita lakini nimepoteza data na contacts nyingi sana. katika yote namshukuru tu Mungu na kumsamehe aliyetenda hilo.