Hata Mimi sijaelewaMimi ni mwana yanga damdam lakin kwenye huku usajili naona Kama tumepigwa na kitu kizito na sielewi mudathir alikuwa ana uhitaji gani na naenda kumchukua nafasi ya Nani au ndo Yale ya kina ngushi.
Huenda Wana maana yao Ila Acha tuone walikuwa wanalenga nini...
hajasajiliwa ili akachukue nafasi ya nani,bali anakuja kucheza yangaMimi ni mwana yanga damdam lakin kwenye huku usajili naona Kama tumepigwa na kitu kizito na sielewi mudathir alikuwa ana uhitaji gani na naenda kumchukua nafasi ya Nani au ndo Yale ya kina ngushi.
Huenda Wana maana yao Ila Acha tuone walikuwa wanalenga nini...
Mimi ni mwana yanga damdam lakin kwenye huku usajili naona Kama tumepigwa na kitu kizito na sielewi mudathir alikuwa ana uhitaji gani na naenda kumchukua nafasi ya Nani au ndo Yale ya kina ngushi.
Huenda Wana maana yao Ila Acha tuone walikuwa wanalenga nini...
khalifa aucho ndio yupi huyo??Mimi nimeelewa sana,Khalifa aucho anaondoka,mudathir atacheza kiungo
Huwa unafanyika usajili kwa mahitaji ya timu na si tu kuwaelesha na kuwafurahisha mashabiki kwaiyo km kocha pamoja na viongozi wetu wameona kuna uhitaji wa uyo mchezaji inatosha sisi wanachama na mashabiki tusubilie kushangilia tuMimi ni mwana yanga damdam lakin kwenye huku usajili naona Kama tumepigwa na kitu kizito na sielewi mudathir alikuwa ana uhitaji gani na naenda kumchukua nafasi ya Nani au ndo Yale ya kina ngushi.
Huenda Wana maana yao Ila Acha tuone walikuwa wanalenga nini...
kikosi kipanaMimi ni mwana yanga damdam lakin kwenye huku usajili naona Kama tumepigwa na kitu kizito na sielewi mudathir alikuwa ana uhitaji gani na naenda kumchukua nafasi ya Nani au ndo Yale ya kina ngushi.
Huenda Wana maana yao Ila Acha tuone walikuwa wanalenga nini...
Watanzania mna shida kuliko shida zenyewe. Umesema hujaelewa Kwa nini kasaniliwa, hapohapo unamwaga sifa na sababu za kusajiliwa kwake?Akili nyingi sana.. Kiungo mkata shombo. Ni heri uwe na huyu mpemba muislamu kuliko kuwa na Bigirimana anaye ingia na kutoka kwenye kikosi cha kwanza.
Tanzania hakuna kiungo mkabaji mzawa kama Mudathir Yahaya..
Itoshe kusema viongozi wametumia akili nyingi, waliona huwezi kumwacha Bigirimana wakati huna mtu wa kushika nafasi yake. Ujio wa Mudathir ni ishara tosha Nafasi ya kigeni ya Bigirimana kinakuja Chuma cha pua.
Sasa wakati Yanga wanasajili wachezaji, kuna timu zinaleta wapiga Nyeto. Baada wakigongwa waanze kusingizia bahasha.
Kiungo PUNDA + Kiungo NUNGUNUNGU = Mudathir yaha.. Ukitaka ndio Usipo taka ndio.
JE YALIYOMO YAMOOOOO
Baadhi ya wachezaji ni waganga piaMimi ni mwana yanga damdam lakin kwenye huku usajili naona Kama tumepigwa na kitu kizito na sielewi mudathir alikuwa ana uhitaji gani na naenda kumchukua nafasi ya Nani au ndo Yale ya kina ngushi.
Huenda Wana maana yao Ila Acha tuone walikuwa wanalenga nini...