Moyo utapasuka kwa maumivu makali unayoyapitia iv sasaSure boy na muda wote waliachwa na azam kwa ajili ya utovu wa nidhamu(waliitisha mgomo ndani ya club,wakitaka mgao mkubwa wa pesa dhidi ya wageni).
Leo yanga inawachukua wote wakaungane kuleta mgomo tena,dhidi ya kina ki aziz na mayele.
Kiasili muda ni mkorofi tena sio kidogo,jamaa bangi anazovuta zinamchanganya sana,japo ni mchezaji mzuri.
Sidhani kama muda na morrison wataelewana na nabi,sidhani kwa kweli.
Yanga haitafuti mashabiki kama koloAmesajiliwa kisiasa ili kuifanya timu iendelee kupendwa Zanzibar
Amesajiliwa haraka, baada ya kusikia kuwa Simba wanamtaka!Usichoelewa nini hapo
Moyo utapasuka kwa maumivu makali unayoyapitia iv sasa
Mmeamua kuwekeza kwenye majunguSure boy na muda wote waliachwa na azam kwa ajili ya utovu wa nidhamu(waliitisha mgomo ndani ya club,wakitaka mgao mkubwa wa pesa dhidi ya wageni).
Leo yanga inawachukua wote wakaungane kuleta mgomo tena,dhidi ya kina ki aziz na mayele.
Kiasili muda ni mkorofi tena sio kidogo,jamaa bangi anazovuta zinamchanganya sana,japo ni mchezaji mzuri.
Sidhani kama muda na morrison wataelewana na nabi,sidhani kwa kweli.
Itakuwa amesahau kumeza dawa zake leo!! [emoji23]Watanzania mna shida kuliko shida zenyewe. Umesema hujaelewa Kwa nini kasaniliwa, hapohapo unamwaga sifa na sababu za kusajiliwa kwake?
Dah! Unaonekana una huruma sana. Mimi nilitarajia ufurahie kuona Yanga imesajili wachezaji wakorofi na wagomaji, kuliko hata Saido Ntibazonkiza.Sure boy na muda wote waliachwa na azam kwa ajili ya utovu wa nidhamu(waliitisha mgomo ndani ya club,wakitaka mgao mkubwa wa pesa dhidi ya wageni).
Leo yanga inawachukua wote wakaungane kuleta mgomo tena,dhidi ya kina ki aziz na mayele.
Kiasili muda ni mkorofi tena sio kidogo,jamaa bangi anazovuta zinamchanganya sana,japo ni mchezaji mzuri.
Sidhani kama muda na morrison wataelewana na nabi,sidhani kwa kweli.
Yanga na simba, ndiyo timu pekee zenye mashabiki wengi Bara na Visiwani.Amesajiliwa kisiasa ili kuifanya timu iendelee kupendwa Zanzibar
Wewe ropoka tu ni jadi yakoBinafsi nitakuwa na majibu pale atakapoanza kucheza, na kuona impact yake uwanjani. Ila kwa sasa, wacha ninyamaze.
Uislamu unakujaje tena apoAkili nyingi sana.. Kiungo mkata shombo. Ni heri uwe na huyu mpemba muislamu kuliko kuwa na Bigirimana anaye ingia na kutoka kwenye kikosi cha kwanza.
Tanzania hakuna kiungo mkabaji mzawa kama Mudathir Yahaya..
Itoshe kusema viongozi wametumia akili nyingi, waliona huwezi kumwacha Bigirimana wakati huna mtu wa kushika nafasi yake. Ujio wa Mudathir ni ishara tosha Nafasi ya kigeni ya Bigirimana kinakuja Chuma cha pua.
Sasa wakati Yanga wanasajili wachezaji, kuna timu zinaleta wapiga Nyeto. Baada wakigongwa waanze kusingizia bahasha.
Kiungo PUNDA + Kiungo NUNGUNUNGU = Mudathir yaha.. Ukitaka ndio Usipo taka ndio.
JE YALIYOMO YAMOOOOO
Kumbe mmwaga sifa ndio huyo huyo mleta uzi. Siku note hilo na wengi hawajaweza kuli note hilo. Ila baada ya comment yake nikabidi nikague nakuona kweli jamaa chenga kweli.Watanzania mna shida kuliko shida zenyewe. Umesema hujaelewa Kwa nini kasaniliwa, hapohapo unamwaga sifa na sababu za kusajiliwa kwake?
Mimi nimeelewa sana, Khalid Aucho anaondoka, Mudathir atacheza kiungo
Ramuli chonganishi serikali ilikatazaMimi nimeelewa sana, Khalid Aucho anaondoka, Mudathir atacheza kiungo