Aliyefananishwa na model wa video ya Salome auwawa kikatili

Aliyefananishwa na model wa video ya Salome auwawa kikatili

Segito wa Kalenga

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2014
Posts
609
Reaction score
864
mkanganyiko huu bado unafatiliwa kwa umakini nitawajuza kinachoendelea

==================

ni kweli tukio hilo limetokea arusha,makumira.

Huyu binti aliyefariki amefananishwa tu na huyo model,namfahamu na ni jirani wa mzazi wangu.

Amebakwa na zaidi ya watu wanne na chupa ikapachwikwa sehemu zake za siri.
binadamu siku hizi wamekosa utu.............

Naimani Mungu amewaona wasamehe uko uliko mbele yetu sisi nyuma yako

R.I.P Juliana

Model halisi wa kwenye video hiyo akanusha

 
ni kweli tukio hilo limetokea arusha,makumira.huyu binti aliyefariki amefananishwa tu na huyo model,namfahamu na ni jirani wa mzazi wangu.amebakwa na zaidi ya watu wanne na chupa ikapachwikwa sehemu zake za siri.
binadamu siku hizi wamekosa utu.............naimani Mungu amewaona
wasamehe uko uliko
mbele yetu sisi nyuma yako

R.I.P Juliana
 
Wacheni kukuza mambo
Mwenyewe kakanusha uongo huo

 
ni kweli tukio hilo limetokea arusha,makumira.huyu binti aliyefariki namfahamu na ni jirani wa mzazi wangu.amebakwa na zaidi ya watu wanne na chupa ikapachwikwa sehemu zake za siri.
binadamu siku hizi wamekosa utu.............naimani Mungu amewaona
wasamehe uko uliko
mbele yetu sisi nyuma yako

R.I.P Juliana
Acha upuuzi wewe unaambiwa si kweli unagn`ang`ana tu RIP YOURSELF!!!!!!
 
Acha upuuzi wewe unaambiwa si kweli unagn`ang`ana tu RIP YOURSELF!!!!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hahaha alvyo mjinga ataikataa rip yake mwororo akati yeye kamtakia mtu pia
 
Pole kwa familia ya marehemu pia pole kwa usumbufu alioupata huyo model ila cha msingi watu waache kukurupuka taarifa za msiba si jambo dogo.
 
ni kweli tukio hilo limetokea arusha,makumira.huyu binti aliyefariki namfahamu na ni jirani wa mzazi wangu.amebakwa na zaidi ya watu wanne na chupa ikapachwikwa sehemu zake za siri.
binadamu siku hizi wamekosa utu.............naimani Mungu amewaona
wasamehe uko uliko
mbele yetu sisi nyuma yako

R.I.P Juliana
Tukio liketokea kweli lakini huyu sio hamisa mobeto video queen wa nyimbo ya Salome
 
ni kweli tukio hilo limetokea arusha,makumira.huyu binti aliyefariki namfahamu na ni jirani wa mzazi wangu.amebakwa na zaidi ya watu wanne na chupa ikapachwikwa sehemu zake za siri.
binadamu siku hizi wamekosa utu.............naimani Mungu amewaona
wasamehe uko uliko
mbele yetu sisi nyuma yako

R.I.P Juliana
Finger print,DNA test, majimaji kwenye uke, wanaweza wakamata hao wauwaji
 
Finger print,DNA test, majimaji kwenye uke, wanaweza wakamata hao wauwaji
Na ndala iloachwa itaonesha vinasaba pia. Yaani hao watu kupatikana ni very easy mamlaka zinazohusika zikiamua.
 
Back
Top Bottom