Ni mwamba Clatous Chota Chama kaingia kambani mara 2 dhidi ya Mashujaa!
Tunaambiwa hana furaha kabisa pale Yanga ndio maana kafuta picha zote kwa mujibu wa watabiri kutoka ukoloni🤣🤣🤣
Na sisi tunasema hana furaha kabisa anarudi ukoloni keshokutwa tu hapo!
Tunaambiwa hana furaha kabisa pale Yanga ndio maana kafuta picha zote kwa mujibu wa watabiri kutoka ukoloni🤣🤣🤣
Na sisi tunasema hana furaha kabisa anarudi ukoloni keshokutwa tu hapo!