ommytk JF-Expert Member Joined Jul 30, 2015 Posts 520 Reaction score 1,143 Jun 9, 2020 #1 Habari za leo wadau poleni na mihangaiko kwa wale wanaongaika.mimi kwa muda mrefu nawaza hivi nani aligundua hii kunywa chai na chapati 2 au itakuwa hao hao kina Carl Peters toka Ulaya.
Habari za leo wadau poleni na mihangaiko kwa wale wanaongaika.mimi kwa muda mrefu nawaza hivi nani aligundua hii kunywa chai na chapati 2 au itakuwa hao hao kina Carl Peters toka Ulaya.
Ulweso JF-Expert Member Joined May 24, 2016 Posts 23,111 Reaction score 28,020 Jun 9, 2020 #2 Huyo huyo ndiye aliyegundua ugali na mboga
avogadro JF-Expert Member Joined Apr 30, 2013 Posts 8,082 Reaction score 14,457 Jun 9, 2020 #3 Hivi ni kwanini TV hazitangazi kujulisha muda watazamaji wake kama ilivyo redio kila baada ya saa muja utasikia hivi sasa ni saa saba kamili?
Hivi ni kwanini TV hazitangazi kujulisha muda watazamaji wake kama ilivyo redio kila baada ya saa muja utasikia hivi sasa ni saa saba kamili?
Snowden E JF-Expert Member Joined Apr 27, 2018 Posts 1,668 Reaction score 2,908 Jun 9, 2020 #4 First law of breakfast.