Aliyegundua chai na chapati mbili

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Habari za leo wadau poleni na mihangaiko kwa wale wanaongaika.mimi kwa muda mrefu nawaza hivi nani aligundua hii kunywa chai na chapati 2 au itakuwa hao hao kina Carl Peters toka Ulaya.
 
Huyo huyo ndiye aliyegundua ugali na mboga
 
Hivi ni kwanini TV hazitangazi kujulisha muda watazamaji wake kama ilivyo redio kila baada ya saa muja utasikia hivi sasa ni saa saba kamili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…