Pre GE2025 Aliyehamia CCM Zanzibar: Niligombea umakamu mwenyekiti ACT kumpinga Jussa akaniambia utakoma na hautakuwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Wanachama 2370 waliokua ACT Wazalendo wakiongozwa na aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kiwani kwa miaka 20, Hija Hassan Hija, wamekabidhi kadi za ACT na kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM) huku akiweka bayana kuwa aligombea makamu uenyekiti kwenye chama chake cha awali kumpinga Ismail Jussa ambapo amedai kuwa Jussa alimuahidi kuwa atakoma na hatokuwa mwenyekiti

Hayo yamejiri leo, Februari 15, 2025, Visiwani Pemba, wakati wa mkutano wa kumpokea na kumtambulisha Dkt. Hussein Ali Mwinyi ambaye ni mgombea pekee wa nafasi ya urais wa Zanzibar 2025 kupitia tiketi ya CCM.

Pia soma: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Your browser is not able to display this video.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…