Aliyeharibu Maths ionekane ngumu

Hesabu ni ujinga wa kutafuta vitu vya kijinga.Eti find x...
 
Mi hata sasa naisoma Maths yaan najilazimisha kuipenda Tu maana sitaki kupata Sup
 
Hesabu ni ujinga wa kutafuta vitu vya kijinga.Eti find x...
Hongera zako, kama si ujinga huo wakutafuta X, usingekua na chakuwasilisha hisia zako kama ulivyofanya (i.e. huko 'ku find' x) kumepelekea kuwepo kwa komputa, simu navingine vingi , ALGEBRA wa kuheshimiwa sana!
 
Huyo Aljebra ndo nani?yule mwaarab?

Newton na calculus yake ndiye aliyefanya mathe kuwa ngumu

Kwenye physics ni Einstein na Relativity yake,mpaka leo wanaijua watu saba tu
Waliobaki wote wana kariri.

Kwenye Biology je?watson?
Hao saba ndo wakina nani
 
Nafundisha Maths ila nguvu ninayotumia kusafirisha ujuzi ni kubwa zaid kuliko Mwl wa Nationalism.. Maths ni kipaji bwana kama vipaji vingine linakuwa automatic kwa mtu aliyejaliwa ila ALGEBRA kaivuruga sana namba
Mkuu jitaidi usiwe just an ordinary teacher,kitu ambacho walimu huwa nawashangaa wasioyajua masomo yao.Inawezekana vipi ufundise topic mara kibao say kila mwaka mara mbili au zaidi na bado unakuwa wewe mwenyewe hauijui?Hapa watu wengi wanaelezea mawazo yao,ugumu au wepesi wa somo ni relative term,kigumu kwako kinaweza kuwa chepesi kwa mwingine.
Algebra inawezekana mkaona ngumu kwa sababu inaitaji lugha uwe unaifahamu vizuri uwezi kujibu swali la aljebra kama ujalielewa hata kama utakuta ni solve for x,y or z.Lakini ile equation inaweza ikatengenezewa maelezo kibao.
Mwalimu mchango wake si mkubwa sana ,mimi naamini katika juhudi za mwanafunzi binafsi.Hesabu namshukuru Mungu lilikuwa somo safi kwangu,nilichojifunza uwe na vitabu vya ukweli na uwe na muda mwingi wa kusolve.
Nilifundisha kipindi fulani,moja ya topic wanafunzi wanapata shida ni probability.Unatakiwa kuielewa otherwise itakuwa ngumu kwako.esabu ina kanuni zake za msingi,ukizijua izo utafurahi,ni somo pekee kama uko fiti unaweza ukatoka kwenye paper unajua kabisa range ya maksi utakazo pata.
 
Dah! Ukitafakati theorists as Hesabu, chemistry na Physics inanifanya niamini kuwa Mungu alitanguliza kina Faradays na Newton na wengine watengeneze mazingira ili kizazi cha Instagram kije kuishi. Imagine kizazi hiki ndo kingewatangulia akina Einsten
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…