Aliyehudhuria mkutano wa wawekezaji UTT Amis

Aliyehudhuria mkutano wa wawekezaji UTT Amis

Miss_Mariaah

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2022
Posts
2,176
Reaction score
4,979
Hello wakuu,

Naomba kwa aliyehudhuria mkutano wa wawekezaji UTT aniambie faida za mifuko mwaka Huu ilikua asilimia ngapi Kwa:
  • Liquid fund
  • Bond fund
  • Wekeza Maisha
  • Jikimu Na
  • Watoto fund
 
Watanganyika wengi wako bora kwenda SIMBA na YANGA.
All the best
 
Hello wakuu,

Naomba kwa aliyehudhuria mkutano wa wawekezaji UTT aniambie faida za mifuko mwaka Huu ilikua asilimia ngapi Kwa:
  • Liquid fund
  • Bond fund
  • Wekeza Maisha
  • Jikimu Na
  • Watoto fund

Sikuhudhuria sababu sikuwa mjini ila nilifatilia online kwa vipindi tofauti kwa. Kwanza hakuna mfuko iliokuwa chini ya 12% mwaka huu na uliopata faida kubwa ulipata around 14.7%


Liquid - 12.9%
Bond - 12.5%
Jikimu- 13.7%
Wekeza maisha- 14.7%
Umoja - 12.1%
Watoto- 14.1%
 
Sikuhudhuria sababu sikuwa mjini ila nilifatilia online kwa vipindi tofauti kwa. Kwanza hakuna mfuko iliokuwa chini ya 12% mwaka huu na uliopata faida kubwa ulipata around 14.7%


Liquid - 12.9%
Bond - 12.5%
Jikimu- 13.7%
Wekeza maisha- 14.7%
Umoja - 12.1%
Watoto- 14.1%
Shukrani Mkuu
 
hizi hapa
 

Attachments

Hivi ukiwa na Pesa UTT kwenye mfuko wowote unaweza kwenda kuombea mkopo Benki bila kuzitoa??

Na nini Bank watahitaji kama uthibitisho?
 
Back
Top Bottom