Jamaa alipewa hela za urithi
milion4 akaamua kwenda porini kuzifukia chini ya mti afu akapiga picha mti kama alama ,huyoo akaenda zake home
baada ya mda kidogo akachukua camera ili kuangalia ile picha ,alishangaa kuona kumbe juu ya mti kulikuwa na mtu anachekelea
UNGEKUWA WEWE INGEKUAJE?????!!