Aliyeingizwa chupa sehemu ya haja na Mhe. Gekul asaidiwe kisaikolojia

Aliyeingizwa chupa sehemu ya haja na Mhe. Gekul asaidiwe kisaikolojia

Umetokea wapi na habar hii ya zaman sana? Nini kimempata kwan huyo kijana? AU NDIO WEWE MWENYEWE?
 
habar ina mwaka we ndo unaileta
Yaan kumbe kuna watu wanakaa porini huko hii habar kwake n mpya
 
Kijana anayesemekana aliingizwa chupa sehemu za haja kubwa na Mheshimiwa Naibu Waziri (Mstaafu) na Mbunge wa Babati Mjini anastahili huduma za kisaikolojia vinginevyo tutampoteza Kwa kadhia Ile.
kwani yule wakili mpenda misifa aliekua akimtetea, mliacha kumsifia mitandaoni akavunjika moyo na akamtelekeza au imekuaje tena? 🐒
 
Dogo ashakuwa hanisi sasa umefurahi ehhh ngoja mchicha mwiba wazidi kuongezekaa

Ova
nadhani wakili wake anaweza kua ana mchango Fulani muhimu sana kwenye hilo, na naskia wakali huyo huyo ameenda pia kupoteza haki za binti alie lawitiwa Dodoma pia 🐒
 
Back
Top Bottom