PLAN B VERYFIED
Senior Member
- Aug 10, 2023
- 169
- 589
Kata ndoa wana njaa kali na msongo wa mawazo.....mwanaume kamili na mwenye kupata chakula cha Asubuhi, mchna na jioni ni lazma atake mwanamkeHawa ndo wazee wa kataa ndoa ila nyuma ya pazia wanazitaka mno ndoa
kwani ndoa inazuia kupigwa machine?.Nyie manaamini alikuwa apigwi machine usilete taarifa za ajabu ajabu
Kwahiyo alikuwa anajipelekea moto mwenyewe?😂Mshawishi wa Kibrazili #SuellenCarey, ambaye aligonga vichwa vya habari mwaka jana kwa kujioa kama kitendo cha ujasiri cha kujipenda, sasa amewasilisha kesi ya talaka kutoka kwake mwenyewe huku akisema amekuwa mpweke.
.
Baada ya kukaa vikao kumi na Mwanasaikolojia aligundua kuwa kujitoa kwenye kifungo cha ndoa ya yeye mwenyewe kutamfanya ajiskie huru.
View attachment 3089422
Umeona huo mtindi mkuu??Afya ya akili is real mazee....[emoji848]
swala ni moja tu...!Hawa ndo wazee wa kataa ndoa ila nyuma ya pazia wanazitaka mno ndoa