Aliyejioa mwenyewe ajipa talaka

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
426
Mwanamitindi Suellen Carey amejiondoa baada ya ndoa ya peke yake iliyidumu mwaka mzima kutofanikiwa kama alivyopanga . Mwanamitindo huyu mwenye asili ya Brazil anaishi Uwingereeza alishangaza ulimwengu baada ya kufunga ndoa ya peke yake. Suellen amejioa na amekua akihudhuria vikao 10 vya matibabau ya wanandoa (marriage therapy) ili kuepukana na upweke lakini baadae yakamshinda na kuamua kujipa talaka.
Your browser is not able to display this video.
 
Tunavyopenda kuiga mambo utashangaa hii kasumba inasambaa maeneo mengine ya ulimwengu.
 
Dunia simama nishukeee, Woiiiiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna watu wanapenda attention kwa nguvu. Sasa hizi kama sio sifa ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…