maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,749
- 2,319
Wakikuyu Ni wamachame x3.Nimegundua alikuwa kaoa dada mkikuyu mkenya. Hapa kazi alikuwa nayo si siri.
Nimepita kwenye page ya Facebook ya mke,mke alipost picha.Kuna mtu akamwambia hana makuu. Mc Joe akaja akashangaa nani hana makuu?Wakikuyu Ni wamachame x3.
Kuna wakikuyu Aina mbili. Kikuyu wa Nyeri Kama mke wa rais Kibaki (mnakumbuka alivyomuendesha Kibaki hata akiwa rais) Hawa Ni machame × 5.
Na Kuna kikuyu wa Kiambuu. Hawa anaweza akuzike hapo hapo sitting room kwako na maisha yaendelee. Ni wazuri kwa sura tatizo miguu.
Ajabuhivi inakuwaje unaenda kuoa mkeya kabisa aisee? kweli hapa bongo hamna wanawake?
Kuna interview nimeona,yule mwanamke aliwaambia kazini kwake kuwa,mmewe kaondoka nyumbani asubuhi alfajiri bila kumuaga,so ana wasiwasi.Na akapiga simu kazini kwa mmewe wakamwambia wanaiona gari,ila yeye Joe hawamuoni.So mme kuondoka Alfajiri bila kumuaga mkewe.Lazima kulikuwa na kitu.Ninaamini ndoa ikiwa na upendo ndani yake .Mme akipata tatizo ,wa kwanza kumkimbilia ni mkewe, na kwa mke ni hivyo hivyo.Huyo mwanamke anaonekana kiburi sana.
Basi inaonekana waligombana na mke anajua sababu ya mumewe kujiuaKuna interview nimeona,yule mwanamke aliwaambia kazini kwake kuwa,mmewe kaondoka nyumbani asubuhi alfajiri bila kumuaga,so ana wasiwasi.Na akapiga simu kazini kwa mmewe wakamwambia wanaiona gari,ila yeye Joe hawamuoni.So mme kuondoka Alfajiri bila kumuaga mkewe.Lazima kulikuwa na kitu.Ninaamini ndoa ikiwa na upendo ndani yake .Mme akipata tatizo ,wa kwanza kumkimbilia ni mkewe, na kwa mke ni hivyo hivyo.
Kiambu ni zaidi ya Mafia. Kuna wakati walibadili mbinu wakiona me ana fedha halafu akitaka kukuondoa anakuwekewa unga wa steel wire kidogokidogo, baada ya miaka miwili au mitatu unaondoka kwa ugonjwa. Hapo hakuna atakayestuka.Wakikuyu Ni wamachame x3.
Kuna wakikuyu Aina mbili. Kikuyu wa Nyeri Kama mke wa rais Kibaki (mnakumbuka alivyomuendesha Kibaki hata akiwa rais) Hawa Ni machame × 5.
Na Kuna kikuyu wa Kiambuu. Hawa anaweza akuzike hapo hapo sitting room kwako na maisha yaendelee. Ni wazuri kwa sura tatizo miguu.
Hatari na nusuKiambu ni zaidi ya Mafia. Kuna wakati walibadili mbinu wakiona me ana fedha halafu akitaka kukuondoa anakuwekewa unga wa steel wire kidogokidogo, baada ya miaka miwili au mitatu unaondoka kwa ugonjwa. Hapo hakuna atakayestuka.
Si unaona Mkikuyu mk254 kaenda kuoa Mluya badala ya Kikuyu mwenzake
Uchunguzi kuhusu nini? Alikuwa na impact gani kwa taifa?I hope uchunguzi unaendelea Ili haki itendeke na sio maziko yapotezee uchunguzi
Bora angeoa msambaa tu 😎😎Nimegundua alikuwa kaoa dada mkikuyu mkenya. Hapa kazi alikuwa nayo si siri.
Nipe connection ya mmoja wapo ajue sisi sio wale wakenya wanapigwa na wake zao.Wakikuyu Ni wamachame x3.
Kuna wakikuyu Aina mbili. Kikuyu wa Nyeri Kama mke wa rais Kibaki (mnakumbuka alivyomuendesha Kibaki hata akiwa rais) Hawa Ni machame × 5.
Na Kuna kikuyu wa Kiambuu. Hawa anaweza akuzike hapo hapo sitting room kwako na maisha yaendelee. Ni wazuri kwa sura tatizo miguu.