upupu255
Senior Member
- Sep 4, 2024
- 119
- 144
Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM Mkoa wa Dar Es salaam ndugu Ally Bananga akimpokea kada wa Chadema aliyehamia CCM
Ndugu Elia Benadin Mlewa alikuwa akihudumu nafasi ya katibu mtendaji wa Mtandao wa Wanafunzi Wa Vyuo Vikuu wa Chadema (CHASO) Mkoa wa Dar Es salaam pamoja na nafasi ya Katibu wa Jimbo la Ukonga
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Ndugu Elia Benadin Mlewa ameamua kuchukua maamuzi hayo kutokana na kazi kubwa inayofanywa na Serikali ya CCM chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika nchi yetu hasa kwenye sekta ya Elimu nchini.
Ndugu Elia Benadin Mlewa alikuwa akihudumu nafasi ya katibu mtendaji wa Mtandao wa Wanafunzi Wa Vyuo Vikuu wa Chadema (CHASO) Mkoa wa Dar Es salaam pamoja na nafasi ya Katibu wa Jimbo la Ukonga
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Ndugu Elia Benadin Mlewa ameamua kuchukua maamuzi hayo kutokana na kazi kubwa inayofanywa na Serikali ya CCM chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika nchi yetu hasa kwenye sekta ya Elimu nchini.