Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
"Tatizo kubwa la Simba ni kuajiri watu wasio na weledi. Kama Simba SC wanataka kufanikiwa wanapaswa kuachana na watu wasio na weledi"
"Simba kwa sasa inahitaji 'PROFESSIONAL PEOPLE' watu wenye Ueledi, wasipewe nafasi kwa sababu wanajuana na watu au Sababu wanaijua Sana Simba bali wanahitaji watu wenye Ueledi na taaluma"
𝗧𝘂𝗹𝗶𝗸𝘂𝗻𝗷𝗮𝗻𝗮 𝗺𝗮𝘀𝗵𝗮𝘁𝗶 :
"Mimi na Video analyst tuliwahi kukunjana mashati, hata kwenye mchezo wa (FA) dhidi ya Mashujaa Mchezo ambao Simba alitolewa kwa mikwaju ya penati baada ya dakika tisini kuisha Kwa Sare nilimfuata Mwalimu mkuu Benchikha na kumwambia kuwa Mwalimu siwezi kukupa taarifa yeyote kuhusu mchezo huu sababu Mchambuzi wa Video hajanitumia taarifa yoyote"
𝗞𝘂𝗵𝘂𝘀𝘂 𝗱𝗲𝗿𝗯𝘆 :
"Siku mbili kabla ya mechi ya Derby ya Kariakoo nilishangaa tu naambiwa Aishi Manula yuko tayari kwa ajili ya mchezo. Nilishangaa kwa sababu huwa sio kawaida yake, huwa naulizwa kuhusu hali ya makipa wangu lakini haikuwa hivyo"
"Sikutaka kupingana na kocha mkuu kwa kuwa sipendi kubishana na kocha mkuu na namheshimu, lakini siku hiyo hiyo niliongea na Aishi kwa sababu nimemfundisha na nilijua hayuko tayari kwa mchezo huo, ningekuwa naruhusiwa kutoa ushauri wangu usingecheza keshokutwa".
©️ Daniel Cadena
Aliyekuwa kocha wa magolikipa Simba SC ambaye ameamua kuondoka Simba baada ya mkataba wake kuisha mwezi huu.
Chanzo: Rick Media Sports
"Simba kwa sasa inahitaji 'PROFESSIONAL PEOPLE' watu wenye Ueledi, wasipewe nafasi kwa sababu wanajuana na watu au Sababu wanaijua Sana Simba bali wanahitaji watu wenye Ueledi na taaluma"
𝗧𝘂𝗹𝗶𝗸𝘂𝗻𝗷𝗮𝗻𝗮 𝗺𝗮𝘀𝗵𝗮𝘁𝗶 :
"Mimi na Video analyst tuliwahi kukunjana mashati, hata kwenye mchezo wa (FA) dhidi ya Mashujaa Mchezo ambao Simba alitolewa kwa mikwaju ya penati baada ya dakika tisini kuisha Kwa Sare nilimfuata Mwalimu mkuu Benchikha na kumwambia kuwa Mwalimu siwezi kukupa taarifa yeyote kuhusu mchezo huu sababu Mchambuzi wa Video hajanitumia taarifa yoyote"
𝗞𝘂𝗵𝘂𝘀𝘂 𝗱𝗲𝗿𝗯𝘆 :
"Siku mbili kabla ya mechi ya Derby ya Kariakoo nilishangaa tu naambiwa Aishi Manula yuko tayari kwa ajili ya mchezo. Nilishangaa kwa sababu huwa sio kawaida yake, huwa naulizwa kuhusu hali ya makipa wangu lakini haikuwa hivyo"
"Sikutaka kupingana na kocha mkuu kwa kuwa sipendi kubishana na kocha mkuu na namheshimu, lakini siku hiyo hiyo niliongea na Aishi kwa sababu nimemfundisha na nilijua hayuko tayari kwa mchezo huo, ningekuwa naruhusiwa kutoa ushauri wangu usingecheza keshokutwa".
©️ Daniel Cadena
Aliyekuwa kocha wa magolikipa Simba SC ambaye ameamua kuondoka Simba baada ya mkataba wake kuisha mwezi huu.
Chanzo: Rick Media Sports