Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
Wanasema mwanadamu hutakiwi kuwa kasuku kwenye maisha,sababu kasuku ni ndege mwenye maneno mengi lakini hawezi kuruka angani umbali mrefu.
Tai "Eagle" ni ndege asiye na maneno mengi lakini huruka mpaka kwenye mawingu.Kwenye medani ya soccer kuna kasuku wawili Gary Neville na Thiery Henry na hawa wote wawili ni wachambuzi wa mpira kupitia kituo cha television cha Sky Sport .
Thiery Henry ,alikuwa ndio mchambuzi wa soka aliyekuwa analipwa pesa nyingi kuliko wachambuzi wote duniani .Alikuwa akichukua kiasi cha £ 4.Million kwa mwaka akifuatiwa na Gary Neville ambaye anachukua 1.2 Million.
Thiery Henry,awapo ndani ya Sky Sport akiwa amevalia suti kutoka kwa mbunifu Hermes yenye thamani ya $3800,shati ya thamani ya $1325 na tai ya thamani ya $195 ,alitoa kasoro kwa makocha wote waliofanya vibaya.,alionekana ni bora kwa maneno na maono ya uchambuzi wake.
Alimsema sana Arsene Wenger ,kuwa ameishiwa mbinu,alikuwa fundi wa kuongea ,na kutoa kasoro makocha waliopoteza mech katika ligi ya EPL ,sababu alikuwa mchezaji bora mwenye kila kikombe cha mchezo wa soccer.
Makamu wa raisi wa club ya Fc Monaco ,Vadim Vasilyev,alipenda ubora wa Thiery Henry alivyokuwa kuwa mchezaji ,kisha alipenda alivyochambua mpira,maono yake na kutoa tathmini maridhawa ya soccer.
11 October 2018 ,Thiery alikabidhiwa timu ya Monaco ,amefundisha Monaco mechi 20,kashinda mechi 4,katoka sale mechi 5 na kufungwa mechi11 na sasa amefukuzwa kazi,yale maono,zile kauli hazikufanya kazi aliishiwa kuwaita wachezaji wake '' Grandmother Whore''
Monaco kaondoka kwa aibu ila heshima anayo London katika kiwanja cha Emirates kwa kujengewa sanamu ya shaba nyeusi kwa heshima ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa club ya Arsenal.
17 February ,Thiery Henry ,alisain mkataba na club ya New York Red Bulls kwa kulipwa mshahara wa $5.6 Million ,na kumfanya kuwa mchezaji anayelipwa pesa kubwa kuliko wachezaji wote wa Major League Soccer ,alimpita mpaka David Beckham.
Wakati kazi ya ukocha imemshinda Thiery Henry ,pasi na shaka atarudi kwenye kazi ya uchambuzi wa mpira na kituo cha television cha Sky Sport.
Si kila kitu ni kizuri lakini kila Siku kuna kitu kizuri ,Thiery Henry Nothing Last Forever.Parfois vous gagnez,parfois vous perdez.#14KingHenry.
Tai "Eagle" ni ndege asiye na maneno mengi lakini huruka mpaka kwenye mawingu.Kwenye medani ya soccer kuna kasuku wawili Gary Neville na Thiery Henry na hawa wote wawili ni wachambuzi wa mpira kupitia kituo cha television cha Sky Sport .
Thiery Henry ,alikuwa ndio mchambuzi wa soka aliyekuwa analipwa pesa nyingi kuliko wachambuzi wote duniani .Alikuwa akichukua kiasi cha £ 4.Million kwa mwaka akifuatiwa na Gary Neville ambaye anachukua 1.2 Million.
Thiery Henry,awapo ndani ya Sky Sport akiwa amevalia suti kutoka kwa mbunifu Hermes yenye thamani ya $3800,shati ya thamani ya $1325 na tai ya thamani ya $195 ,alitoa kasoro kwa makocha wote waliofanya vibaya.,alionekana ni bora kwa maneno na maono ya uchambuzi wake.
Alimsema sana Arsene Wenger ,kuwa ameishiwa mbinu,alikuwa fundi wa kuongea ,na kutoa kasoro makocha waliopoteza mech katika ligi ya EPL ,sababu alikuwa mchezaji bora mwenye kila kikombe cha mchezo wa soccer.
Makamu wa raisi wa club ya Fc Monaco ,Vadim Vasilyev,alipenda ubora wa Thiery Henry alivyokuwa kuwa mchezaji ,kisha alipenda alivyochambua mpira,maono yake na kutoa tathmini maridhawa ya soccer.
11 October 2018 ,Thiery alikabidhiwa timu ya Monaco ,amefundisha Monaco mechi 20,kashinda mechi 4,katoka sale mechi 5 na kufungwa mechi11 na sasa amefukuzwa kazi,yale maono,zile kauli hazikufanya kazi aliishiwa kuwaita wachezaji wake '' Grandmother Whore''
Monaco kaondoka kwa aibu ila heshima anayo London katika kiwanja cha Emirates kwa kujengewa sanamu ya shaba nyeusi kwa heshima ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa club ya Arsenal.
17 February ,Thiery Henry ,alisain mkataba na club ya New York Red Bulls kwa kulipwa mshahara wa $5.6 Million ,na kumfanya kuwa mchezaji anayelipwa pesa kubwa kuliko wachezaji wote wa Major League Soccer ,alimpita mpaka David Beckham.
Wakati kazi ya ukocha imemshinda Thiery Henry ,pasi na shaka atarudi kwenye kazi ya uchambuzi wa mpira na kituo cha television cha Sky Sport.
Si kila kitu ni kizuri lakini kila Siku kuna kitu kizuri ,Thiery Henry Nothing Last Forever.Parfois vous gagnez,parfois vous perdez.#14KingHenry.