Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Kwani babra anasemaje?Bora paka anatusaidia kuliko kuwa Nyani afu hana msaada wowote, zaidizaidi ni hasara tu na kujikuta unakuwa na vichembechembe vya chuki
Hapo ndipo msemo wa kiswahili usemao " Ukiona Cha nini, wenzio wanawaza watakipata lini" Haya group stages kawafikisha, Sasa kazi kwenu, either mtusue ili mmprove wrong huyo kocha, au mpigwe mauno na wanaume mkizungusha kiuno Kama Feni bovi.Safi kabisa na aliondoka Simba kwa matatizo ya kifamilia.
Figisu za Mo
kipindi alichokaa kishingo makocha wangapi wa utopolo wamepita?haya majaamaa ingekuwa ndo kalinyo yuko simba na makanjanja yao kina kitenge redioni tusingekaa ila suala la kalinyo yamekausha kama hayapo au sarpong haya majamaa ni sifuri kabisaYani Figisu za Wamoroko kumuiba Kocha pia unamtupia MO, kila kitu kwako ni MO! ninauhakika siku utakayomkuta Mke wako ananyanduliwa kitaa pia utasema Figisu za MO.
Tomatokutoka source gani?
Aliyekuwa kocha wa timu ya Simba ya Tanzania Sven Vandenbroeck amejiunga na timu ya Far Rabat ya nchini Morocco
Why umepaniki? Mimi ni mwana simba. Na namkubali Mo.Yani Figisu za Wamoroko kumuiba Kocha pia unamtupia MO, kila kitu kwako ni MO! ninauhakika siku utakayomkuta Mke wako ananyanduliwa kitaa pia utasema Figisu za MO.
Mlikua mnavizia kumtimua nyinyi....... Hakuna team ambayo inaweza kumwacha Kocha aliyeipeleka team Makundi Africa.
Wewe ndio hujaelewa, hujasoma ujumbe wa mo au umehadithiwa. Ameondoka kwa ajili ya proximity na kwao hicho ndicho alikisema mo! Kama unajua umbali kati ya Morocco na Belgium au usafiri kati ya nchi hizo mbili usingeandika huo ugolo.Sasa Mudi mbona anatudanganya kwamba ni issue za kifamilia kumbe amepata kandarasi ya 2 yrs morocco.
PAKA SC wamepoteza bonge la kocha
Wewe ndio hujaelewa, hujasoma ujumbe wa mo au umehadithiwa. Ameondoka kwa ajili ya proximity na kwao hicho ndicho alikisema mo! Kama unajua umbali kati ya Morocco na Belgium au usafiri kati ya nchi hizo mbili usingeandika huo ugolo.