Mama ake Yesu aliposwa akiwa na umri Gani na Joseph akiwa na miaka 88?ametaja miaka hiyo strategically akijua kisheria inaruhusiwa kama wazazi wameruhusu. though angesema tu kuwa kwenye uislam akivunja ungo tu ruksa kumwingilia kingono, mtume si alioa miaka 6 akasubiri afike 9 ndio akammwingilia? aibu hii.
Watoto wa siku hizi hiyo akili yenyewe kukomaza hawana, wanakomaza fuvu tu.Ndoa sio hayo ma ngono wanayowaza ndoa ni maisha lazima mtu akili iwe imekomaaa
Wakuu,
Kwenye kipindi cha One on One Ally Mohamed Keissy aliyekua Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kaskazini (2010 - 2020), ametoa mtazamo wake kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo mvutano wa sheria mpya ya ndoa.
Kessy anasema kuwa yeye anaamini kwamba mtoto wa kike akishavunja ungo tu anaweza kuolewa yaani hata akiwa na miaka 14 au 15 tu anafaa kuingia kwenye ndoa.
Keissy anasema kwamba hata yeye alimuoa mkewe ambaye kwa wakati huo alikuwa na miaka 15.
Nitashangaa huyu mpuuzi akirudi tena 2025 kama mbunge, tuna uhalalisha upedophile kwa visingizio vya dini utafikiri hatuna akili ya kupembanua vitu na kuona hiki kinafaa ama lah.
===
"Mimi kama muislamu, Uislamu unasema mwanamke akishavunja ungo anaweza kuolewa. Mimi kama muslamu naamini kwamba miaka 14, 15 mwanamke anafaa kuolewa. Mi mwenyewe nimemuoa mke wangu akiwa na miaka 15"
Wakuu,
Kwenye kipindi cha One on One Ally Mohamed Keissy aliyekua Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kaskazini (2010 - 2020), ametoa mtazamo wake kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo mvutano wa sheria mpya ya ndoa.
Kessy anasema kuwa yeye anaamini kwamba mtoto wa kike akishavunja ungo tu anaweza kuolewa yaani hata akiwa na miaka 14 au 15 tu anafaa kuingia kwenye ndoa.
Keissy anasema kwamba hata yeye alimuoa mkewe ambaye kwa wakati huo alikuwa na miaka 15.
Nitashangaa huyu mpuuzi akirudi tena 2025 kama mbunge, tuna uhalalisha upedophile kwa visingizio vya dini utafikiri hatuna akili ya kupembanua vitu na kuona hiki kinafaa ama lah.
===
"Mimi kama muislamu, Uislamu unasema mwanamke akishavunja ungo anaweza kuolewa. Mimi kama muslamu naamini kwamba miaka 14, 15 mwanamke anafaa kuolewa. Mi mwenyewe nimemuoa mke wangu akiwa na miaka 15"
Labda tukuulize ulibikiriwa ukiwa na umri gani? Kama ni miaka 13 basi ndiyo siku uliyotakiwa kuolewaWakuu,
Kwenye kipindi cha One on One Ally Mohamed Keissy aliyekua Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kaskazini (2010 - 2020), ametoa mtazamo wake kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo mvutano wa sheria mpya ya ndoa.
Kessy anasema kuwa yeye anaamini kwamba mtoto wa kike akishavunja ungo tu anaweza kuolewa yaani hata akiwa na miaka 14 au 15 tu anafaa kuingia kwenye ndoa.
Keissy anasema kwamba hata yeye alimuoa mkewe ambaye kwa wakati huo alikuwa na miaka 15.
Nitashangaa huyu mpuuzi akirudi tena 2025 kama mbunge, tuna uhalalisha upedophile kwa visingizio vya dini utafikiri hatuna akili ya kupembanua vitu na kuona hiki kinafaa ama lah.
===
"Mimi kama muislamu, Uislamu unasema mwanamke akishavunja ungo anaweza kuolewa. Mimi kama muslamu naamini kwamba miaka 14, 15 mwanamke anafaa kuolewa. Mi mwenyewe nimemuoa mke wangu akiwa na miaka 15"
Sasa unataka uowe mwanamke aliyekomaa ambaye ameshapitiwa na wanaume 100? maana kabikiriwa na miaka 13 unaowa akiwa na 30 hapo kati hiyo miaka 17 alikuwa anafanya nini?Watoto wa siku hizi hiyo akili yenyewe kukomaza hawana, wanakomaza fuvu tu.
Yeye amewahi kuoza Binti yake wa umri huo? Hii mizee minafiki inasomesha watoto wao halafu inakuja kudaganyq wajinga huku.Wakuu,
Kwenye kipindi cha One on One Ally Mohamed Keissy aliyekua Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kaskazini (2010 - 2020), ametoa mtazamo wake kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo mvutano wa sheria mpya ya ndoa.
Kessy anasema kuwa yeye anaamini kwamba mtoto wa kike akishavunja ungo tu anaweza kuolewa yaani hata akiwa na miaka 14 au 15 tu anafaa kuingia kwenye ndoa.
Keissy anasema kwamba hata yeye alimuoa mkewe ambaye kwa wakati huo alikuwa na miaka 15.
Nitashangaa huyu mpuuzi akirudi tena 2025 kama mbunge, tuna uhalalisha upedophile kwa visingizio vya dini utafikiri hatuna akili ya kupembanua vitu na kuona hiki kinafaa ama lah.
===
"Mimi kama muislamu, Uislamu unasema mwanamke akishavunja ungo anaweza kuolewa. Mimi kama muslamu naamini kwamba miaka 14, 15 mwanamke anafaa kuolewa. Mi mwenyewe nimemuoa mke wangu akiwa na miaka 15"
Kwahiyo kama ilifanyika miaka ya 70 basi sasa itakuwa sawa kufanyika? Pamoja na elimu aliyopata ameshindwa kuelimika na kubadilika, amebaki kule kule kwenye enzi za ujimba. Kama muwakilishi wa wananchi unaweza kuimagine ni ujinga gani mwingine amefanya ambao haujawekwa wazi? Kuna haja ya vigezo vya kuwa mbunge viongezwe, kusoma na kuandika haitoshi.Wakuu,
Kwenye kipindi cha One on One Ally Mohamed Keissy aliyekua Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kaskazini (2010 - 2020), ametoa mtazamo wake kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo mvutano wa sheria mpya ya ndoa.
Kessy anasema kuwa yeye anaamini kwamba mtoto wa kike akishavunja ungo tu anaweza kuolewa yaani hata akiwa na miaka 14 au 15 tu anafaa kuingia kwenye ndoa.
Keissy anasema kwamba hata yeye alimuoa mkewe ambaye kwa wakati huo alikuwa na miaka 15.
Nitashangaa huyu mpuuzi akirudi tena 2025 kama mbunge, tuna uhalalisha upedophile kwa visingizio vya dini utafikiri hatuna akili ya kupembanua vitu na kuona hiki kinafaa ama lah.
===
"Mimi kama muislamu, Uislamu unasema mwanamke akishavunja ungo anaweza kuolewa. Mimi kama muslamu naamini kwamba miaka 14, 15 mwanamke anafaa kuolewa. Mi mwenyewe nimemuoa mke wangu akiwa na miaka 15"
Aliposwa akiwa na miaka mingapi kwa mjibu wa maandiko?Mama ake Yesu aliposwa akiwa na umri Gani na Joseph akiwa na miaka 88?
Hii ndo hekima. Nanunkuu: "Ndoa sio hayo mangono wanayowaza ndoa ni maisha lazima mtu akili iwe imekomaaa"Hawa tatizo wanatizama nyama wanazokuwa nazo watoto wa miaka 15 , anaona kabisa anafaa kuwekewa muhoga ..
Ila hawaangaliii akili za ndoa..
Yaani akili yao inawaza kuwa wanaweza ngono hawawazi hata upevushi wa akili za huyo mtoto kuhusu ndoa
Ndoa sio hayo ma ngono wanayowaza ndoa ni maisha lazima mtu akili iwe imekomaaa
Pedo ...Wakuu,
Kwenye kipindi cha One on One Ally Mohamed Keissy aliyekua Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kaskazini (2010 - 2020), ametoa mtazamo wake kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo mvutano wa sheria mpya ya ndoa.
Kessy anasema kuwa yeye anaamini kwamba mtoto wa kike akishavunja ungo tu anaweza kuolewa yaani hata akiwa na miaka 14 au 15 tu anafaa kuingia kwenye ndoa.
Keissy anasema kwamba hata yeye alimuoa mkewe ambaye kwa wakati huo alikuwa na miaka 15.
Nitashangaa huyu mpuuzi akirudi tena 2025 kama mbunge, tuna uhalalisha upedophile kwa visingizio vya dini utafikiri hatuna akili ya kupembanua vitu na kuona hiki kinafaa ama lah.
===
"Mimi kama muislamu, Uislamu unasema mwanamke akishavunja ungo anaweza kuolewa. Mimi kama muslamu naamini kwamba miaka 14, 15 mwanamke anafaa kuolewa. Mi mwenyewe nimemuoa mke wangu akiwa na miaka 15"