Aliyekuwa Mhasibu wa Serikali ashtakiwa kwa makosa 206 ya Uhujumu Uchumi

Aliyekuwa Mhasibu wa Serikali ashtakiwa kwa makosa 206 ya Uhujumu Uchumi

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1687250417281.png

Eliud Jones Kijalo aliyekuwa Mhasibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Utalii ambaye amefunguliwa mashtaka hayo pamoja na mengine ya Kughushi, Matumizi Mabaya ya Mamlaka, Ufujaji na Ubadhirifu wa Fedha ulioisababishia hasara ya Tsh. Bilioni 4.03.

Mahakama imeelezwa kuwa kati ya Julai Mosi, 2016 na Julai 30, 2019 mshtakiwa akiwa katika ofisi za Wizara ya Maliasili iliyopo Temeke, aligushi vocha mbalimbali zenye thamani ya Sh 4,036,770,339 huku akijua ni kosa la kisheria.

Shauri hilo la Uhujumu Uchumi limefunguliwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar. Mshatakiwa alitakiwa kutojibu chochote kwakuwa Mahakama haina mamlaka ya kusikiliza shauri hilo na amepelekwa mahabusu hadi Juni 28, 2023 shauri litakapotajwa tena.
 
Sasa kwanini walimpeleka kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kama wanajua Mahakama haina mamlaka ya kusikiliza shauri hilo.!
 
si afadhali huyu, je aliyepiga bandari zote za tanganyika/
huyo ni mdogo wako, mbona unamtetea?
Bandari za Tanganyika zipo na zitaendelea kuwepo lakini hizo fedha zimeingia kwenye mfuko wake na labda mabibi aliokuwa amewaweka vimada (ndiyo ugonjwa wenu huo mukipata fedha).
 
Aiseeee In magu regime [emoji1373][emoji1373][emoji1373][emoji1373]


Ama ndo alikua na kigwangala [emoji28]
 
View attachment 2663003
Eliud Jones Kijalo aliyekuwa Mhasibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Utalii ambaye amefunguliwa mashtaka hayo pamoja na mengine ya Kughushi, Matumizi Mabaya ya Mamlaka, Ufujaji na Ubadhirifu wa Fedha ulioisababishia hasara ya Tsh. Bilioni 4.03.

Mahakama imeelezwa kuwa kati ya Julai Mosi, 2016 na Julai 30, 2019 mshtakiwa akiwa katika ofisi za Wizara ya Maliasili iliyopo Temeke, aligushi vocha mbalimbali zenye thamani ya Sh 4,036,770,339 huku akijua ni kosa la kisheria.

Shauri hilo la Uhujumu Uchumi limefunguliwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar. Mshatakiwa alitakiwa kutojibu chochote kwakuwa Mahakama haina mamlaka ya kusikiliza shauri hilo na amepelekwa mahabusu hadi Juni 28, 2023 shauri litakapotajwa tena.
Ungemkuta Kidimbwi hapo anaagiza Hennesy 10 kwa malaya hiyo ni usiku mmoja tuu... hakuna anaemkumbuka kwa sasa zaidi ya mkewe na ndugu zake!
 
View attachment 2663003
Eliud Jones Kijalo aliyekuwa Mhasibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Utalii ambaye amefunguliwa mashtaka hayo pamoja na mengine ya Kughushi, Matumizi Mabaya ya Mamlaka, Ufujaji na Ubadhirifu wa Fedha ulioisababishia hasara ya Tsh. Bilioni 4.03.

Mahakama imeelezwa kuwa kati ya Julai Mosi, 2016 na Julai 30, 2019 mshtakiwa akiwa katika ofisi za Wizara ya Maliasili iliyopo Temeke, aligushi vocha mbalimbali zenye thamani ya Sh 4,036,770,339 huku akijua ni kosa la kisheria.

Shauri hilo la Uhujumu Uchumi limefunguliwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar. Mshatakiwa alitakiwa kutojibu chochote kwakuwa Mahakama haina mamlaka ya kusikiliza shauri hilo na amepelekwa mahabusu hadi Juni 28, 2023 shauri litakapotajwa tena.


Mbaya zaidi hizo hepa zishaisha, na amezila na jamaa zake, au ma bocy wake ambao hawajaacha trace.
 
Si afadhali huyu, je aliyepiga bandari zote za tanganyika/
Mtakufa navyo vijiba vya roho.

Game limestukiwa.

Shoga Soka kaweka wazi kila kitu. Kaulizwa swali moja tu mwenyewe kafunguka.

Kaulizwa "unatakan ufunguliwe mashtaka ya ushoga au utatwambia aliyekutuma?".

Miaka 30 mchezo?
 
huyo ni mdogo wako, mbona unamtetea?
Bandari za Tanganyika zipo na zitaendelea kuwepo lakini hizo fedha zimeingia kwenye mfuko wake na labda mabibi aliokuwa amewaweka vimada (ndiyo ugonjwa wenu huo mukipata fedha).


Kwani kile kiwanja cha ukoo mlichouza na hela mkala kimehama? Si kipo pale lakini sio chenu?
 
Back
Top Bottom