Uchaguzi 2020 Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Kimei achukua fomu ya kutia nia jimbo la Vunjo kupitia CCM

Upinzani una safari ndefu yaani watu wazito wote hua wako Ccm
Hii ni nadharia yako tu, suala la nani ni mzito ama ni mwepesi ni la kinadharia....ni sawa na kudhani kuna binadamu wa daraja la kwanza na wa daraja la mwisho huku ukijitoa ufahamu kwamba linapokuja suala la utu binadamu wote ni sawa
 
Hamzidi waziri ww hata katibu mkuu hamfikii
MaCEO wa kenya sawa sio MaCEO WA BONGO
Unaongea vitu usivyovijua ,kuna CEO alikuwa analipwa 45m per month ,anaishi kwenye ufukwe oysterbay ,V12 Brand New na Dereva 24hrs kampuni binafsi.
 
Kweli Watanzania ni wajinga na wabinafsi.. Kwahiyo wewe unachoona ni Ubunge ni kujineemesha yeye na familia yake??

Huyo hana shida na pesa mkuu, hata hiyo 12m anaweza kuisign tu ikasaidie yatima..
Yes Kujineemesha!! Hasa wana CCM wanaenda Kugonga meza na kupiga YOPE kwa JIWE!! Hawawasemei wananchi waliowachagua kabisa.
 
kumbe hawa waheshimiwa sana wanaweza pata milioni 800 ?
Yes wanapata zaidi ya hiyo kama ukiweka michanganuo vizuri,si uliona sugu alikopa CRDB na kufanikisha kujenga hotel ,si uliona Ndugai alitaja Mkopo wa lema bungeni? Kwahiyo kuna fursa ya kukopa hata zaidi ya 1b.
 
Msiogope Katia nia tu hajaptishwa, subirini apitishwe ndio muhofie.

Ungeone video ya magufuli wakati yupe geita wanafungua tawi la crdb maneno alosema kwa kimei ... usingeandika hivyo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Huyo anapita bila shida labda kifo kimtenganishe
 
Huu ndio mwisho wa heshima ya Bwana Kimei.
Siasa ni chafu, na madudu yake sasa hadharani.
Inasikitisha Sana ,mtu aliyejijengea heshma kwa muda mrefu,akajenga taasisi ya fedha hadi kuwa ya kupigia mfano na kisha akastaafu,anakubali kujiunga na mambo ya siasa.Hakika haijawahi kumuacha mtu salama.Ni tamaa,Ni kutishwa ama chanzo ni nini? Atakuwa tayari kuishi matokeo atakayoyapata? Mahiga na Augustino Ramadhani hakuna ajuaye nini kiliwatokea.
 
Unaongea vitu usivyovijua ,kuna CEO alikuwa analipwa 45m per month ,anaishi kwenye ufukwe oysterbay ,V12 Brand New na Dereva 24hrs kampuni binafsi.
Sasa 45M waziri hawezi kuipata? Magumashi ya wizara yote anayajua,
Kenya ndio kuna maCEO wanalipwa hadi milioni500(kila kitu) kwa mwezi.
 
Madudu yapi ?Wengine wanafanya madudu kisomi. Hata ukimtafuta hupati traces. Ni kama mzee wa vijisenti huwezi dhibitisha madudu yake.
Yanathibitika bana,unajua neno vijisenti lilitokana na nini? Alipata mgao wa Radar akaficha Rhode Islands Uingereza,ikijulikana,wakati anatoka nje ya nchi akabanwa na waandishi wa habari uwanja wa ndogo ndo akasema hivyo Ni vijisent tuu.Hapo ndo jina vijisent likampata.
 
Mbatia bye bye. Maana tusidanganyane pesa ni kama magnet inavuta watu bwana.
Mkuu amini nakuambia wale wote walio hamia ccm kutoka Chadema wanapigwa chini wote, kama kina Lijuakali watapigwa chini

Huyu Kimei anaweza kwenda kuwa Waziri, halafu kuna Mollel Kule Siha anaenda kupigwa chini Mwanri anachukua jimbo then Waziri..

wale walio hongwa kwa vipande vya hela wote watapigwa chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…