Aliyekuwa mkuu wa chuo cha ualimu korogwe na makamu wake hatimaye waswekwa ndani kwa ubadhirifu.

Aliyekuwa mkuu wa chuo cha ualimu korogwe na makamu wake hatimaye waswekwa ndani kwa ubadhirifu.

FIKRA HAI

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2013
Posts
231
Reaction score
79
Wadau kunataarifa nimeidaka kuwa aliyewahi kuwa mkuu Wa chuo na makamu Wake wamekamatwa tokea asubuhi wapi lupango.
Habari zaidi zinasema ni kutokana na ubadhirfu walioufanya kipindi cha uongozi wao na kushindwa kuwalipa wazabuni ambao walikuwa wakipigwa danadana kuwa serikali haijatoa wakati sio kweli.
Wadau Wa haki tunataka tuone haki ikitendeka,wako wakufunzi walitendwa kwakusema ukweli dhidi ya uongozi dhalimu Wa Shabani Mwiga.
Mpaka Sasa kuna mkufunzi mlemavu ameshindwa kufanya kazi kutokana kuhamishiwa chuo cha Ualimu Monduli ambapo mazingira sio rafiki kwakwe.
Aidha udhaifu huu umechangiwa na udhaifu Wa Mkurugenzi Wa idara Elimu ya Ualimu ndugu Bakari Issa.
 
Haki itatendeka, lakini si unajua adhabu ya kosa la ubadhirifu ndani ya Serikali yetu.?
Naomba nikukumbushe, kosa kama hili kama itabainika ni kweli basi wanatakiwa wahamishwe vituo vya kazi. Tengemea kuwasikia wakiongoza Kasuru TTC Kigoma.
 
Wakuu ni kwamba hawa jamaa walishastaafu(mkuu Wa chuo na makamu Wake) lakini kuna mwasibu na boharia ambao walihamishwa vituo vya kazi.
Taarifa za hivi punde zinaeleza kuwa aliyekuwa mwasibu na boharia waliohamishiwa makao makuu ya wizara Pia wamekamatwa Pia.Haki ichukue mkondo Wake na hii iwe funzo kwa wakuu Wa vyuo wenye mitazamo ya kuiba.
 
Anayeharibu vyuo vya Ualimu Tanzania kwa sasa Ni Nkurugenzi wa Idara ya Ualimu BAKARI ISSA.....huyu jamaa kama wadau wa Elimu wanapenda nchi hii iendelee kwa kuandaa walimu bora na wenye uwezo basi wamuondoe huyu jamaa - sijui issa bakari na mke wake Hellena Lihawa ...hawa watu hawafai hata kidogo kuongoza idara hii nyeti ya kuandaa walimu...... Ningeweza kuonana na JK basi jambo mojawapo lingekuwa ni hili la kusafisha wizara ya Elimu kwa kutoa hawa majuha hapa wizarani.....wananikera sana kwa kufuja mali na kuendekeza udini.....!

Bakari Isssa (Mkurugenzi wa idara ya Ualimu) ndio anayemkumbatia na kumbeba ....Ubaya S.Suleiman....lile bedui la chuo cha ualimu songea.
 
Wapo wengi. wa aina hiyo kosa kwa hyo mzee ni kotorudisha 10% kwa mwajiri. Mbona wanaorudisha wanaishi vizuri tu na maboharia na wahasibu ndo wakuu wa vyuo wasaidizi! Nchi hii uozo mtupu.

Wizara imekusha hakuna kiongozi tena pale wapo kupiga deal tu. Kuna mtu nilikutana naye ni mkufunzi lkn hakuwahi kupandishwa cheo hata siku moja na bado kuna eti viongozi katika hiyo wizara.
 
Wadau kunataarifa nimeidaka kuwa aliyewahi kuwa mkuu Wa chuo na makamu Wake wamekamatwa tokea asubuhi wapi lupango.
Habari zaidi zinasema ni kutokana na ubadhirfu walioufanya kipindi cha uongozi wao na kushindwa kuwalipa wazabuni ambao walikuwa wakipigwa danadana kuwa serikali haijatoa wakati sio kweli.
Wadau Wa haki tunataka tuone haki ikitendeka,wako wakufunzi walitendwa kwakusema ukweli dhidi ya uongozi dhalimu Wa Shabani Mwiga.
Mpaka Sasa kuna mkufunzi mlemavu ameshindwa kufanya kazi kutokana kuhamishiwa chuo cha Ualimu Monduli ambapo mazingira sio rafiki kwakwe.
Aidha udhaifu huu umechangiwa na udhaifu Wa Mkurugenzi Wa idara Elimu ya Ualimu ndugu Bakari Issa.

weka picha mkuu
 
Back
Top Bottom