Aliyekuwa mshindi wa Maisha Plus, Abdul mbaroni kwa mauaji

Tusker Bariiiidi

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2007
Posts
5,551
Reaction score
2,153
Wanajamvi Aliyewahi kuwa Mshindi wa MAISHA PLUS anashikiliwa na Polisi wa Kituo cha Magomeni baada ya kuhusishwa na tukio la Mwanamke mmoja kukutwa amekufa kwa kutupwa Ghorofani katika moja ya Hotel zilizopo Magomeni Mapipa.

Taarifa za awali zinaonyesha kuwa waliingia pamoja Hotelini humo huku Abdul aliomba kumshwa saa 11 asubuhi Ili awahi Airport lakini alidakwa yeye na wenzake kabla ya kuondoka.

Dada huyo amezikwa kwao Dodoma kabla ya sala ya adhuhuri leo 29.04.2019.

 
yaani kabla ya kumrusha wakapause kwa picha kabisa,huyu abdull atakua anavuta bangi
 
Anakula mbunye halafu kulipa inakuwa soo!!
 
Kama mtuhumiwa akikutwa na hatia awajibishwe bila kupepesa macho
 
huyu bwamdogo addul huwaga anamawenge mawenge sana,,
akila prama akashushia na cha arusha anakua mwehu kabisaa huyu mtu,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…