Tetesi: Aliyekuwa Mtendaji wa Kata ya Siuyu, Tatu Bolosi atumbuliwa na halmashauri ya Ikungi

Tetesi: Aliyekuwa Mtendaji wa Kata ya Siuyu, Tatu Bolosi atumbuliwa na halmashauri ya Ikungi

Joined
Feb 15, 2017
Posts
8
Reaction score
23
Aliyekuwa Mtendaji wa Kata ya Siuyu na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Siuyu amefukuzwa kazi ya utendaji wa kata kwa sababu ya kushindwa kuthibitisha elimu yake. Madai yake ya awali yalikuwa kwamba ana elimu ya kidato cha nne aliyoipata Shule ya Sekondari Mungaa, ambayo hata hivyo ameshindwa kuithibitisha.

1. Kazi hana
2. Ana kesi ya kujibu kwa kuvuruga uchaguzi wa Siuyu.

Anatia huruma sana, amemlilia waliyeharibu naye uchaguzi wa Siuyu, Bi. Maria Naftari Mweteni kwamba amtetee mbele ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Bi. Rustica Turuka lakini mambo yamebuma.

[HASHTAG]#MALIPONIHAPAPADUNIANI[/HASHTAG]
[HASHTAG]#king davidson[/HASHTAG]
 
haya mambo ni yaajabu sana, hawajifunzi kamwe sijui kwanini....?
 
Watu wajifunze kufikiri kama wao na sio kama kundi,hatahivyo hakuna mtu ambaye anaweza kulamba kaa la moto

Apewe pole,ajipange upya
 
Aliyekuwa Mtendaji wa Kata ya Siuyu na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Siuyu amefukuzwa kazi ya utendaji wa kata kwa sababu ya kushindwa kuthibitisha elimu yake. Madai yake ya awali yalikuwa kwamba ana elimu ya kidato cha nne aliyoipata Shule ya Sekondari Mungaa, ambayo hata hivyo ameshindwa kuithibitisha.

1. Kazi hana
2. Ana kesi ya kujibu kwa kuvuruga uchaguzi wa Siuyu.

Anatia huruma sana, amemlilia waliyeharibu naye uchaguzi wa Siuyu, Bi. Maria Naftari Mweteni kwamba amtetee mbele ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Bi. Rustica Turuka lakini mambo yamebuma.

[HASHTAG]#MALIPONIHAPAPADUNIANI[/HASHTAG]
[HASHTAG]#king davidson[/HASHTAG]
mambo mengine mmalizane hukohuko kama ni nafasi ndiyo ulikuwa ukihitaji andaa veti vzr,tuna mambo mengi mno jmani ,bombadier,makinikia,ukuta wa berlin,escrow,umeme kukatika hovyo daaaaaah tena muanze kuleta taarifa za wajumbe wa mitaa kujiuzulu,ebu mtuachie kwanza hikli la tareh 26/4 tuone litafika wapi
 
Back
Top Bottom