Aliyekuwa mume wa aunt Ezekiel kuachiwa huru, Dubai

Mkuu una shilingi ngapi a/c?
Mimi nina vimilioni sasa sijui bado unasapoti akili bila pesa

thA God thA bubbs!!



Mimi sina vimilioni bank nina assets zinazotengeneza vimilioni vya kununua assets nyingine na nyingine
 
Herehoa.
 
Na hii ndoa yake nyingine itakuwaje!!
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]

From Sir Korojani
 
Mimi sina vimilioni bank nina assets zinazotengeneza vimilioni vya kununua assets nyingine na nyingine
I'm talking about Cash dough[emoji3]

thA God thA bubbs!!
 
Fanya yako achana na mambo ya umbea, nchi inashida nyingi zinahitaji fikra siyo mambo ya kijinga ya watu
hujielewi wewe!
ficha aibu yako hii, tafuta jukwaa la kilimo uko
 
Hahahahaaaaaaa wapare bwana . Naona umeweka lugha ya kinyumban kunogesha .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[HASHTAG]#chipolopolo[/HASHTAG]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…