Aliyekuwa Mweka Hazina BAVICHA ahamia CCM, apokelewa na Zungu

Aliyekuwa Mweka Hazina BAVICHA ahamia CCM, apokelewa na Zungu

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Aliyekuwa mweka hazina wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) Taifa, Evelyne Meena, pamoja na wenzake zaidi ya 20, wamejiunga rasmi na Chama cha Mapinduzi (CCM).

Evelyne na wenzake wamejiunga leo Septemba 8, 2024, kwenye mkutano mkuu wa Jumuiya ya Wazazi wa CCM Wilaya ya Ilala uliofanyika Pugu, Dar es Salaam.

Ameeleza kuwa walichagua kuondoka Chadema na kujiunga na CCM kutokana na usikivu wa Rais Samia Suluhu Hassan, na maendeleo yanayoletwa na CCM katika sekta kama utalii, afya na miundombinu.

Everlyne amebainisha kuwa hayo ni miongoni mwa sababu kuu zilizowavutia kujiunga na chama tawala.

Akizungumza wakati wa kuwapokea, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ally Bananga amesema kwamba Evelyne na wenzake wamefanya uamuzi sahihi kwa kujiunga na chama hicho wakati muafaka, kwani kinahitaji nguvu kazi kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa.

Naibu Spika wa Bunge, Mussa Zungu amewapongeza kwa kuamua kujiunga na CCM.

Chanzo: Mwananchi
 
Aliyekuwa mweka hazina wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) Taifa, Evelyne Meena, pamoja na wenzake zaidi ya 20, wamejiunga rasmi na Chama cha Mapinduzi (CCM).

Evelyne na wenzake wamejiunga leo Septemba 8, 2024, kwenye mkutano mkuu wa Jumuiya ya Wazazi wa CCM Wilaya ya Ilala uliofanyika Pugu, Dar es Salaam.

Ameeleza kuwa walichagua kuondoka Chadema na kujiunga na CCM kutokana na usikivu wa Rais Samia Suluhu Hassan, na maendeleo yanayoletwa na CCM katika sekta kama utalii, afya na miundombinu.

Everlyne amebainisha kuwa hayo ni miongoni mwa sababu kuu zilizowavutia kujiunga na chama tawala.

Akizungumza wakati wa kuwapokea, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ally Bananga amesema kwamba Evelyne na wenzake wamefanya uamuzi sahihi kwa kujiunga na chama hicho wakati muafaka, kwani kinahitaji nguvu kazi kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa.

Naibu Spika wa Bunge, Mussa Zungu amewapongeza kwa kuamua kujiunga na CCM.

Chanzo: Mwananchi
Heri muwanunue KULIKO kuwauwa..... inaumiza Sana
 
Aliyekuwa mweka hazina wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) Taifa, Evelyne Meena, pamoja na wenzake zaidi ya 20, wamejiunga rasmi na Chama cha Mapinduzi (CCM).

Evelyne na wenzake wamejiunga leo Septemba 8, 2024, kwenye mkutano mkuu wa Jumuiya ya Wazazi wa CCM Wilaya ya Ilala uliofanyika Pugu, Dar es Salaam.

Ameeleza kuwa walichagua kuondoka Chadema na kujiunga na CCM kutokana na usikivu wa Rais Samia Suluhu Hassan, na maendeleo yanayoletwa na CCM katika sekta kama utalii, afya na miundombinu.

Everlyne amebainisha kuwa hayo ni miongoni mwa sababu kuu zilizowavutia kujiunga na chama tawala.

Akizungumza wakati wa kuwapokea, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ally Bananga amesema kwamba Evelyne na wenzake wamefanya uamuzi sahihi kwa kujiunga na chama hicho wakati muafaka, kwani kinahitaji nguvu kazi kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa.

Naibu Spika wa Bunge, Mussa Zungu amewapongeza kwa kuamua kujiunga na CCM.

Chanzo: Mwananchi
Actually,
sio usikivu tu wa Dr.Samia Suluhu Hassan bali pia huyu mumama ndie kipenzi cha waTanzania wote, tumaini na tarajio pekee la ndoto na maendeleo ya kila mwanainchi humu nchini, unaachaje kujiunga nae katika kuliunganisha Taifa na kuifungua nchi kimataifa?🐒
 
Actually,
sio usikivu tu wa Dr.Samia Suluhu Hassan bali pia huyu mumama ndie kipenzi cha waTanzania wote, tumaini na tarajio pekee la ndoto na maendeleo ya kila mwanainchi humu nchini, unaachaje kujiunga nae katika kuliunganisha Taifa na kuifungua nchi kimataifa?🐒
Chawa
 
Sio mbaya ni kijana anabaadae yake naona vitu viwili hapa na vyote vya msingi.. huyu anaokoa maisha yake mikononi mwa Watekaji... Huyu anafuture anatafuta baadae yake.. vyote hivi viwili sio vibaya
 
Kama una akili timamu ukiambiwa uchague kati ya nyumbu na chawa unachua nn?
nakomaa na kubainisha ukweli na uwazi kwendra mbele upende, usipende 🐒

nababaika na useless and completely nonsense narratives mie alaaa!

R.I.P kamanda Ally Kibao
 
Back
Top Bottom