lugoda12
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 276
- 574
Aliyekuwa Mwenyekiti wa BAWACHA Jimbo la Mufindi Kaskazini amefariki Dunia. IRENE MHAPA alikuwa mkufunzi wa shughuli za Ujasiriamali na Vikundi ndani ya Chama.
Mazishi yatafanyika siku ya Leo Jumanne Kijijini kwao Itona.
Uongozi wa CHADEMA-NYASA unatoa pole kwa ndugu jamaa na familia.
Mazishi yatafanyika siku ya Leo Jumanne Kijijini kwao Itona.
Uongozi wa CHADEMA-NYASA unatoa pole kwa ndugu jamaa na familia.