MTV MBONGO
JF-Expert Member
- Feb 18, 2016
- 1,281
- 1,251
Shida ni nini kwani?Mama amemteua ndugu Rodrick Mpogolo aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu BARA WA CCM kuwa Katibu Tawala mkoa wa Katavi, hii imekaaje? Kiongozi wa Kisiasa kupewa nafasi ya uongozi wa kiutawala serikalini TENA ni Technical post. Mhhh, nimeshangazwa Kama ilivyo kwa wanajeshi wasio wastaafu kupewa ukuu wa mkoa na Baadaye kurudishwa JESHINI, naona haiko sawa. MWAONAJE wadau?
Tutashuhudia mengi ya kushtukizwaMama amemteua ndugu Rodrick Mpogolo aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu BARA WA CCM kuwa Katibu Tawala mkoa wa Katavi, hii imekaaje? Kiongozi wa Kisiasa kupewa nafasi ya uongozi wa kiutawala serikalini TENA ni Technical post. Mhhh, nimeshangazwa Kama ilivyo kwa wanajeshi wasio wastaafu kupewa ukuu wa mkoa na Baadaye kurudishwa JESHINI, naona haiko sawa. MWAONAJE wadau?
Ova.Tukio la mtanzania Mbunge kupigwa risasi mchana kweupe tena eneo linalolindwa maaskari ndio tukio la kushangaza zaidi tangu kuanza kwa jamhuri hii!!Hayo mengine hayana haja ya kushangaa ndugu yangu!!!