View attachment 334943 View attachment 334944 View attachment 334945
Msanii nguli wa filamu za Ngono nchini Marekani Amber Rayne amefariki dunia.Rayne ambaye jina lake lingine ni Meghan Wren amefariki akiwa usingizini nyumbani kwake Los Angeles.Sababu za kifo chake bado hazijawekwa wazi,japo kuna taarifa kuwa alikuwa "overdosed" na madawa ya kulevya.
Nje ya maisha ya "Adult films" Amber alikuwa na maisha yake ya kijamii,rafiki wa watu wengi na kipenzi cha wanafamilia yake.Msimu huu wa pasaka Amber alijumuika na wanafamilia wenzake kusherekea sikukuu hiyo pamoja nao.Alisifika kwa kupenda sana kumiliki farasi na michezo yake.
Siku chache zilizopita Amber alinukuliwa na vyombo vya habari akimlalamikia muigizaji mwenzake wa kiume wa "Adults Film" kuwa alimbaka na kumpiga wakati wa kuigiza,kitu kilichomfanya kusema kuwa hatakuwa tayari tena kuigiza na mwanaume huyo.
Katika ulimwengu wa "Adults films" Ambar Rayne alijinyakulia tuzo kadhaa na kujizolea umaarufu sana wa kuwa miugizaji bora na mwenye kubeba uhalisia.Mara zote familia na ndugu zake walikuwa nyuma yake katika kazi yake hiyo aliyoipenda toka akiwa binti aliyemaliza kuvunja ungo.
Marafiki zake kadhaa ktk mtandao wa Twitter wametuma salamu za rambirambi wakimtakia pumziko la amani na kuomba malaika wampokee