BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,606
- 5,922
Hahahahaaaaa kweli PANAPOSTAHILI.OOOH TASNIA IMEPOTELEWA NA MTU MUHIMU SANA APUMZIKE PANAPOSTAHILI
HAHAHAHAHahahahaaaaa kweli PANAPOSTAHILI.
hahaha pinky kweli mwanangu....kama mzungu jana swaga kivile ma black ndio hatarii........af hata sijamcheki naona hana ishu.....awards zao mwanangu sijuizinaendelea maana nilipogunduaga wana tuzo nilichoka sanaHahaaaahaaa! Umesahau na pinky.
Nimemcheki sura ktk mtandao kumbe ni mzungu, hamna kitu kabisa! Nilizoea kuona wale weusi wa asili ya afrika.
Atakuwa alikuwa anaota anadunywaaaaa
Aliyekuwa nyota wa filamu za ngono
Aliyekuwa nyota wa filamu za ngono Amber Rayne amefariki nyumbani kwake mjini Los Angeles ,maafisa wamethibitisha.
Marafiki na waliokuwa wafanyikazi wenzake walituma ujumbe katika mtandao wa Twitter wakimuenzi mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 31 ambaye alifariki usingizi wikendi iliopita.
Amber alikuwa nyota wa filamu za ngono kwa muongo mmoja kabla ya kujiuzulu mwaka 2015.
Alikuwa miongoni ,mwa kundi moja la wanawake ambao walidai kwamba James Deen,ambaye pia ni nyota wa filamu za ngono alimshambulia.
Hatahivyo Deen amekana madai hayo.
Mkaguzi wa matibabu katika kaunti ya Los Angeles ameiambia Newsbeat kwamba hakuna sababu rasmi ya kifo chake iliothibitishwa.
Hatahivyo wamesema kuwa familia yake imearifiwa.Bi Rayne ,ambaye jina lake rasmi ni Meghan Wren,alitangaza kujiuzlu kutoka kazi hiyo mwaka uliopita.
Wafanyikazi wenza katika soko la filamu za ngono walituma ujumbe wa kushtushwa na kifo chake.
CHANZO: BBC
Nyie mnaohukumu ni kama nani? Kama alistaafu Kucheza ngono since last year, mnajuaje kama ametubu? Achezi hizo, kazi ya kuhukumu ni ya Muumba tu
Umenichekesha sana aseeeeNilidhani Cherokee au toni sweets, ngoja baadae nizame mtandaoni nione kei yake ilikuwaje kimuonekano.
R.I.P.
Nani kakudanganya kuwa msamaaha unatolewa kihurahisi nanma hiyo?soma mfano wa zakayo katika biblia luka 19-8 utaona kwamba kama alikuwa ametubu alitakiwa afanye jitihada za kuondoa filim zake kwenye soko ambazo bado ziko hai documented zinaendelea kutumiwa na bwana shetani kuharibu maadili au kama ni mikataba na kampuni inahusika angetakiwa kutoka hadharani na kukana picha hizo ama kujaribu kubadilisha hata jina ili kujivua na laanaNyie mnaohukumu ni kama nani? Kama alistaafu Kucheza ngono since last year, mnajuaje kama ametubu? Achezi hizo, kazi ya kuhukumu ni ya Muumba tu
Moto wa kwake.
Nilidhani Cherokee au toni sweets, ngoja baadae nizame mtandaoni nione kei yake ilikuwaje kimuonekano.
R.I.P.
afadhali aliacha labda alikuwa anatubu na ameshasamehewa
weka movie yake moja tujikumbushe ! teh teh teh teh teh !
Aiseeeee ni kweli mkuu scene zake nyingi yeye anagawa "Nyuma" tu.
OkeyMkuu hiyo ilikuwa kazi tu...