Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SadChanzo ; Kwenye ukurasa wake wa Facebook.
Alikuwa Rais wa UDSM 2010/2011.
Haya mazee yanatua yanahofia tutachukua nafasi zao wakati hayajajiandaa kustafu na matoto Yao bado mavilazaPale CC ya maCCM karibia yote ni mazee wafanya maamuzi yote kwenye hii ni mazee, kule wizaran na kwenye mataasisi yote n mazee siyo ya kufa wala kesho ila vijana tunaondoka kama upepo wa kisuli suli..
Pumzika kwa aman kamanda
Unachuki na 'mazee' kwa namna unavyoyaelezea.Pale CC ya maCCM karibia yote ni mazee wafanya maamuzi yote kwenye hii ni mazee, kule wizaran na kwenye mataasisi yote n mazee siyo ya kufa wala kesho ila vijana tunaondoka kama upepo wa kisuli suli..
Pumzika kwa aman kamanda
Hapana.. ngoja nifanye mawasilaino.🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Umeshajua chanzo ni nini?
Huyu dogo mimi nlikuwa nimeshamaliza Chuo miaka yake. Zamani sanaPoleni wakongwe wote wa UDSM...
Mmmh Uku unalia kabisa 😄R.I.P rais wangu ulinisaidia appeal ya mkopo.